Siwezi kuoa kwa hali hii

Siwezi kuoa kwa hali hii

Kwa hiyo wewe unapofanya kazi ikifika lunch time kazi ni moja kutiana tu...au na wewe ndio kina 'nasikia...nasikia...'

Ukisema ndio mchezo wa ofisini kwenu baas naacha ubishi right now...

wala usitake ushahidi kihivyo ,,,, haya mambo yapo sana tu..........
 
Kwa hiyo wewe unapofanya kazi ikifika lunch time kazi ni moja kutiana tu...au na wewe ndio kina 'nasikia...nasikia...'

Ukisema ndio mchezo wa ofisini kwenu baas naacha ubishi right now...

uliza swali lako vizuri , ulivyoliuliza halipo sahihi na siwezi kulijibu........
 
sio kwamba anaambiwa mm naona hata yeye ni mshirik mzur tu. Anacho kiogopa hapo n ile kauli ya muosha huoshwa au kila angamizae kwa upanga ataangamia kwa upanga......

Naunga mkono hoja mkuu...
 
Juzi nilitoka ofsn na dada mmoja tukaenda kwangu kwa lengo la kuchukua document flan mida ya lunch. Kufika karibia mda wa kuondoka et kaanza kusema najisikia naumwa gafla kama vp nilale hata nusu saa. Na alikua kalegea sana. Nikawaaaaaza nikagundua nisipokuwa makini nitainywa ile sumu ya mke wa mtu. Najua alinidharau na yupo humu but potelea mbali na lengo lake mi namheshimu tu kwa sababu ni mke wa mtu. Kwa hiyo mtoa mada uko mule mule

nimeipenda.
 
Mkuu raha ya ngoma uingie na ucheze.Unaweza ukaoa na mkeo asiliwe nje au akaliwa vilevile.Jambo la msingi mwombe mungu kama unaimani.Kutokuoa si suluhisho wewe ni rijali kuoa ni wajibu.Unauhakika demu uliyenaye kwa sasa haliwi nje?
 
Kukubali kutegeka ni sawa na kupokea shanga kwa karl peters ili achukue alimasi
 
Wewe acha tu wakati wengine wanaoa mwenye haki wa Mungu ataishi kwa imani.
 
aaahgrrrrr! Hakuna cha kukurupuka wala kunyatia. Maadili yamemomonyoka hakuna utu tena hakuna heshma tena. Kizaz chote kimeoza.

Zaman ukihesabu mabint kumi wa miaka 15 hadi 20 unakuta zote ni bikra au 8 n bikra lakn sasa hvi ukichukua hao hao 10 hukuti bikra hata moja wote wamezibuliwa sasa hapo kuna mke mwema?

Sasa hvi sio wanawake wala sio wanaume wote tumeoza.....

Na uskute huyo mtoa maada ni miongon mwa wanaogegeda wake za watu ndio maana anaogopa ile kauli ya kila aangamizaye kwa upanga......

Yeye amejuaje kuwa wanazibuliwa vyoo? Hayo malipo ya gest amejuaje kuwa wanalipahaohao wake za watu..

Haya maisha n kufungua moyo tu, kujitoa ufahamu , kujifanya wanagongwa wa wenzako ila wakwako hagongwi ila ukijfanya kufuatilia utakufa siku zisizo zako walah

Hiyo bold.....nae atakufa kwa upanga
 
Back
Top Bottom