Siwezi kula utumbo wa ng'ombe hata uniwekee bastola kichwani

Huwa najiuliza sana hivi nyie ambao huwa mnakula utumbo wa ng'ombe huo ujasiri huwa mnautoa wapi?

Tena bora ule utumbo wa taulo kuliko ule mwingine wa bomba. Kiukweli nikila utumbo huwa naona nakula kinyesi kabisa.
Wewe inaonekana umezoea kula utumbo wa kuku
 
Duh maskini hajitambui huyo mtoto wa mama hajui ladha ya utumbo mi ukiniwekea nyama na utumbo nakula utumbo
 
Katika aina ya utumbo naoupenda ni ule wa bomba

227.jpg
 
Mbona unakula mate ya dem wako otherwise mkeo, mbona unalamba papuchi? Aaah wew unakasumba na utumbo ni psychological problem. Only a psychologist can help u. Kuna kitu kilikutokea siku ya kwanza kula utumbo (I guess). Ni sawa na mtu aliyetolewa usichana kwa kubakwa, namna atakavyolichukulia hilo tendo maishan mwake au attitude yake kwa wanaume. Mimi pia sili mayai ya kuchemsha hata kwa mbinde, sababu ni za kisaikolojia zaid na nazijua mwenyew
 
Huwa najiuliza sana hivi nyie ambao huwa mnakula utumbo wa ng'ombe huo ujasiri huwa mnautoa wapi?

Tena bora ule utumbo wa taulo kuliko ule mwingine wa bomba. Kiukweli nikila utumbo huwa naona nakula kinyesi kabisa.

Utumbo wako uko sawa kweli? isije kuwa umeshatoa utumbo mkubwa!
 
Haujapikwa ukapikika utakula huku unasema huu si utumbo ni kuku kabisa lol...

Nimemkumbuka shosti wangu tulifanya ugali party na yeye hapendi ugali na siku hiyo kulikuwa na mboga zaidi ya tano, kuku, mchicha, samaki, kachumbari maharage na mchuzi wa nazi hahhaha alisema jamani huu si ugali ati hili pilau lol kwa kunogewa
 
Back
Top Bottom