uaminifukazi
JF-Expert Member
- Oct 22, 2014
- 1,459
- 904
Wakikuwekea bastola kichwani huli!!!! Ila naamini ungekuwa Sudan kusini ungekula huku ukiwa umeshikilia bastola mkinoni kuzuia watu wasikudoee
Hahahahahahahaha shibe ni tatizo... huyo mpeleke hata somalia uone kama hatokula hata kinyesi cha ng'ombe. Hahaha..