Mbona wapo wengi sana! binafsi nimeshapokea simu nyingi sana kutoka Tanga, Iringa, Mwanza na Kilimanajoro kwa watu walioina namba yangu kwenye tangazo la biashara lililotoka katika Mwananchi, wote wanataka niwaunganishe na Diamond eti kwa kuwa niko Dar. bahati mbya sifanyi kazi ya ukuwadi dogo angekimbia kwao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.