ulieandika huu uzi baada ya kuusoma nimegundua yafuatayo kutoka kwako
1.umetumia siku tatu kutunga huu uzi ili angalau ulete maana ila umeshindwa
2.unaonekana mmbeya maana umezungumza linalokukereketa ambalo sisi halituhusu na wala hiyo operesheni ukuta haikuhusu pia
3.umejaribu kuwaaminisha watu kuwa wewe mwerevu na una busara wakati wewe ni bure kabisa(0)
4.unakula na kulala kwa wazazi wako na wala huna familia ila unajishaua
5.wewe ni walumumba ila unazunguka
6.akili zako ni kma vile zidumu fikira za mwenyekiti........na mengine mengi
''usiishi kwa mizuka na matukio''
1.umetumia siku tatu kutunga huu uzi ili angalau ulete maana ila umeshindwa
2.unaonekana mmbeya maana umezungumza linalokukereketa ambalo sisi halituhusu na wala hiyo operesheni ukuta haikuhusu pia
3.umejaribu kuwaaminisha watu kuwa wewe mwerevu na una busara wakati wewe ni bure kabisa(0)
4.unakula na kulala kwa wazazi wako na wala huna familia ila unajishaua
5.wewe ni walumumba ila unazunguka
6.akili zako ni kma vile zidumu fikira za mwenyekiti........na mengine mengi
''usiishi kwa mizuka na matukio''