Siwezi kufanya Mchezo huu hata kidogo!

Siwezi kufanya Mchezo huu hata kidogo!

Acheni kujipa tamaa. Hakuna MTU atakayetia fyoko kujifanya anaandamana period! Dodoma mbona mlishindwa!! Safari hii ndio mmeandaliwa mkong'oto safiiiiii!

Sawa dada tumekuelewa,jeshi letu la polisi liko imara dhidi ya raia wasio na silaha!!
Siku nao wakizipata.........................??
 
1. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kufanya biashara zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti nifunge biashara zangu kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuropoka Bungeni?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

2. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kumwagilia bustani zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti niache kazi hizo na kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuzomea Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

3.Badala ya kutafuta Ada za watoto wangu ili wajitegemee baadaye, eti niende kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kusema uwongo Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

Kama ni Maandamano watangulie hao Viongozi wetu ili wawe wa kwanza kukung'utwa na kupewa vilema. Mimi motto wa Masikini sitathubutu ng'o!! AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. ASANTE SANA MZEE JK!! NITAZINGATIA BUSARA ZAKO!
pole sana tatizo lako ni ufinyu wa mawazo yako juu ya siasa na uchumi....nenda shule ukasome uone kama utaongea ujinga wako....biashara pia inahitaji political stable....au hujasoma PEST na SWOT?
 
JPM ndio kwanza Bajeti take ina mwezi mmoja. Kwa nini umhukumu mapema hivyo!! Acha ujinga!!
Nani kakudanganya, kama ni hivyo hela ya barabara dar na mwanza aliitoa wapi, 18bln za kila mwez kwa wanafunz tangia january amezitoa wapi ? Basi jua kwamba budget yake magu ina miezi 9 sasa na ya jk ilikoma november 25/ 2015
 
1. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kufanya biashara zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti nifunge biashara zangu kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuropoka Bungeni?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

2. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kumwagilia bustani zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti niache kazi hizo na kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuzomea Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

3.Badala ya kutafuta Ada za watoto wangu ili wajitegemee baadaye, eti niende kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kusema uwongo Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

Kama ni Maandamano watangulie hao Viongozi wetu ili wawe wa kwanza kukung'utwa na kupewa vilema. Mimi motto wa Masikini sitathubutu ng'o!! AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. ASANTE SANA MZEE JK!! NITAZINGATIA BUSARA ZAKO!
Una kiherehere duuu!!
 
Nani kakudanganya, kama ni hivyo hela ya barabara dar na mwanza aliitoa wapi, 18bln za kila mwez kwa wanafunz tangia january amezitoa wapi ? Basi jua kwamba budget yake magu ina miezi 9 sasa na ya jk ilikoma november 25/ 2015
Hata mwaka wa Fedha wa Serikali hujui. Sitapoteza muda kubishana na lofa!
 
wana wa israeli walilalamika wakitaka wakaongee na Mungu wao wenyewe na siyo Musa aliyeckuwa akitumia mda mrefu huko cha kufurahisha Mungu mtawala makini alikubari wakaongee naye sasa nashangaa serikali inayozuia mijadala ya kuelimishana juu ya elimu ya uraia na mstakali wa nchi
 
mleta maada huo uoga bora uishie kwako usije ukarithisha na watoto
 
Gangongine, ni vipi kama hizo biashara zako wateja ni hao waandamaji? Bado utakuwa na uwezekano wa kurudi na chochote kitu? Au upande huo hukuutazama?
Ni vizuri ukaacha nature ikafanya yake badala ya kupoteza muda kuizuia.
Nikushangae wewe na wanaojiona wana hati miliki ya nchi hii. Kimsingi vyama vyote vya siasa vina wafuasi wake wenye haki sawa mbele ya sheria na katiba ya nchi. Hakuna mahali sheria hiyo inawapa haki wengine na kuwanyima baadhi kwa kufanya siasa. Na ukiisoma habari yako ni kama wewe ccm unawasemea wasio ccm. Haki hiyo unaipata wapi wakati itikadi zenu ni tofauti?
Waachieni nafasi wafanye siasa zao kwa staili waliyoichagua bila kuvunja sheria. Kuwasema sana ni kuwa ccm mmegeuka kuwa wasemaji wao. Mnalipwaje kwa kazi hiyo? Usawa ni muhimu mbele ya katiba na sheria ya vyama vingi na ndio msingi wa amani. Kinyume chake ni kujipiga wenyewe kwa uoga wa mtu mmoja anayependa kufurahi peke yake. Badilika na wengine wa aina yako. Waacheni ukuta ujijinge au uwaangukie mliomo na wapita njia kama mimi.
 
1. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kufanya biashara zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti nifunge biashara zangu kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuropoka Bungeni?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

2. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kumwagilia bustani zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti niache kazi hizo na kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuzomea Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

3.Badala ya kutafuta Ada za watoto wangu ili wajitegemee baadaye, eti niende kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kusema uwongo Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

Kama ni Maandamano watangulie hao Viongozi wetu ili wawe wa kwanza kukung'utwa na kupewa vilema. Mimi motto wa Masikini sitathubutu ng'o!! AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. ASANTE SANA MZEE JK!! NITAZINGATIA BUSARA ZAKO!
TUNGELIKUWA HATUKO HURU, KISHA TUNA KIZAZI CHA SAMPULI YAKO ,BASI HADI HII LEO BADO TUNGELIKUWA TUNATAWALIWA..
 
1. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kufanya biashara zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti nifunge biashara zangu kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuropoka Bungeni?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

2. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kumwagilia bustani zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti niache kazi hizo na kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuzomea Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

3.Badala ya kutafuta Ada za watoto wangu ili wajitegemee baadaye, eti niende kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kusema uwongo Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!

Kama ni Maandamano watangulie hao Viongozi wetu ili wawe wa kwanza kukung'utwa na kupewa vilema. Mimi motto wa Masikini sitathubutu ng'o!! AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. ASANTE SANA MZEE JK!! NITAZINGATIA BUSARA ZAKO!
Toa upuuzi wako hapa, unajua maana ya demokrasia? Au unaropoka ushuzi wako hapa baada ya kuvimbiwa na ukoko wa lumumba. Kuna mtu kakufuata kwako kukulazimisha uandamane au kiherehere tu.
 
Toa upuuzi wako hapa, unajua maana ya demokrasia? Au unaropoka ushuzi wako hapa baada ya kuvimbiwa na ukoko wa lumumba. Kuna mtu kakufuata kwako kukulazimisha uandamane au kiherehere tu.
Nenda ukatolewe kizazi basi. Hakuna fidia lakini na hao waliokudanganya watakutelekeza bila msaada period!
 
Sijawahi kuona thread ya kipuuzi namna hii. Tokea 2016 ianze.
 
Hata mwaka wa Fedha wa Serikali hujui. Sitapoteza muda kubishana na lofa!
Nimekuwa mvivu wa kuandika lakn nilitaka uongeze za kwako, mwaka wa fedha uko kwenye makaratasi mkuu, aya niambie elimu bure ilikuwepo kwa bajet ya jk? Au we unadhan 18bln kila mwez ni ndogo sana? Madawati yalikuwepo kwenye budget ya jk?. Barabara ya mwanza na Dar mwenge zilikuwepo ? Basi elewa kuwa bajet ya magu imeanza november 2015 na wala sio 2016
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom