Hongera sana kwa kutumia akili alizokupa Mungu vizuri....mkuu kuna mtu amekushinikiza kuende kushiriki hayo maandamano au vipi?kuna mtu amekukataza kumwagilia hizo bstan zako ili ukashirikia maandamano? au unalalamika kitu gani hasa mkuu?
jipe matumaini tu lakini najua hakuna atakayethubutu kuandamanaHEBU CHECK TUTAKAVYOWAFANYA POLISI 1 SEPTEMBERView attachment 384200
Kwahiyo unatuambia ili iweje?
Story za kijinga hivi muwe mnawaambia wake zenu huko.
1. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kufanya biashara zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti nifunge biashara zangu kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuropoka Bungeni?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!
2. Badala ya kutafuta riziki yangu kwa kumwagilia bustani zangu zinazonipatia kipato na kuniwezesha kuishi, eti niache kazi hizo na kwenda kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kuzomea Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!
3.Badala ya kutafuta Ada za watoto wangu ili wajitegemee baadaye, eti niende kuandamana na kigezo cha UKUTA, Nipate nini??? Kisa eti UKAWA wapate nafasi ya kusema uwongo Bungeni kwa kigezo cha Demokrasia?? Sifanyi Mzaha huo kabisa!!
Kama ni Maandamano watangulie hao Viongozi wetu ili wawe wa kwanza kukung'utwa na kupewa vilema. Mimi motto wa Masikini sitathubutu ng'o!! AKILI ZA KUAMBIWA CHANGANYA NA ZAKO. ASANTE SANA MZEE JK!! NITAZINGATIA BUSARA ZAKO!
hahahahaha, bora umestuka, njoo uchukue na kadi ya CCM
JPM ndio kwanza Bajeti take ina mwezi mmoja. Kwa nini umhukumu mapema hivyo!! Acha ujinga!!HIVI KWELI MIMI NISIUNGE MKONO UKUTA WKT DEMOKRASIA INAPONDWA MAWE WAZIWAZI NITAKUWA MGENI WA NANI?
HIVI KWELI MIMI NISIUNGE MKONO UKUTA WKT MBELE KIZA KINENE HATUJUI TUENDAKO NITAKUWA MGENI WA NANI?
HIVI KWELI NISIUNGE MKONO UKUTA WKT HAKUNA JUHUDI ZA KUFUFUA KILIMO NA KUONGEZA UZALISHAJI ILI KUINUA UCHUMI WA NCHI NITAKUWA MGENI WA NANI?
HIVI KWELI MIMI NISIUNGE MKONO UKUTA WKT MCHAKATO WA KATIBA MPYA UMETUPWA HUKO NITAKUWA MGENI WA NANI?
Wewe mwenyewe wala hutatoka. Utakaa kwenye tv na kusubiri kuandika humu jamvini
jipe matumaini tu lakini najua hakuna atakayethubutu kuandamana
Nenda DRC na South Sudan ndio utajua una Uhuru mpaka unajamba jamba ovyo na kukosa heshima kwa Serikali yako! Inaonekana hata wazazi wako huwaheshimu wewe!Hata huo uhuru unaokuwezesha kutafuta riziki yako, na kumwagilia bustani yako umepiganiwa na watu.
Kuna watu waliacha shughuri zao kwa ajili hiyo. wewe endelea tu na mambo yako. Usisahau kuendelea kufyatua watoto kama mh alivyoagiza
Kamanda na wewe uta andamana? Umeshachukua zile T-shirt na kofia za kuzuia mabomu na virungu? HahahahaKwahiyo unatuambia ili iweje?
Story za kijinga hivi muwe mnawaambia wake zenu huko.
HahahaHayo ni maamuzi yangu binafsi.