Siwapendi msiotandika vitanda vyenu!

sasa kwa suala la kuogesha watoto tatizo liko wapi? ni kuambiwa uwaogeshe au ni kwamba baba kuogesha wanawe ni vibaya??? mbona hivi jamani! khaa!


some pipo bwana, sasa mtoto ni wako ushindwe na kumfanyia usafi....kwa hili naweza kusema ndio nasaidiwaga mara moja moja.....
 
Kama ingekuwa si majamboz, ningemuoa dada yangu. After all ni mzuri kuliko wife. Asikudanganye mtu mama, Ndoa ni MAJAMBOZ! Kama ni usafi hata dada yangu na mama yangu wanayamudu sana, nisingekuwa na haja ya kuoa! Kwishnei!

mpwa nimekusoma hapa, but:
The maximum amount of posts on this page can display has been reached. Posts will now start to disappear from oldest to newest.
 
You Can Say It Again Bwashee! Utandike kitanda afu wife atafanya nini?

He he makubwa kwa hiyo ina maana wewe Chriss na Geoff hamwezi kuwasaidia wake zenu kutandika kitanda? hivi mnajua kuna wanawake wengine wanaondoka asubuhi sana kwenda kazini na anamwacha mume wake nyumbani,kwa hiyo kama umeachwa nyumbani wife akirudi atakuta kitanda kiko hovyo hovyo,je hiyo ni sawa? Yaani kama nyinyi hamsaidii wake zenu kutandika vitanda nahisi mlipokua mabachela nyumba zenu zilikua haziingiliki kwa jinsi zilivyokuwa rough.
 
Kwamba Sababu kubwa ya watu kuonana ni kumegana! Siyo kutandika vitanda na blabla nyingine sijui usafi na kuogesha watoto.

...duuuh,

hapana bana, mimi nimeoa nipatee mwenza wa maisha...for better and for worse til death do us apart...

Ameen.
 
...duuuh,

hapana bana, mimi nimeoa nipatee mwenza wa maisha...for better and for worse til death do us apart...

Ameen.


be blessed Mbu....nadhani waliooa ili nae wajulikane wameoa tu.
 
some pipo bwana, sasa mtoto ni wako ushindwe na kumfanyia usafi....kwa hili naweza kusema ndio nasaidiwaga mara moja moja.....

nakwambia Nyamayao, kuna wababa wengine ni balaa kana jehanam, mtoto mpaka anakua hajawahi kuogeshwa, kubadilishwa nepi wala kulishwa na baba yake, baba akiwa amempakata akilia tu anakabidhiwa kwa mama haraka sana,
 
He he makubwa kwa hiyo ina maana wewe Chriss na Geoff hamwezi kuwasaidia wake zenu kutandika kitanda? hivi mnajua kuna wanawake wengine wanaondoka asubuhi sana kwenda kazini na anamwacha mume wake nyumbani,kwa hiyo kama umeachwa nyumbani wife akirudi atakuta kitanda kiko hovyo hovyo,je hiyo ni sawa? Yaani kama nyinyi hamsaidii wake zenu kutandika vitanda nahisi mlipokua mabachela nyumba zenu zilikua haziingiliki kwa jinsi zilivyokuwa rough.

hahaha! Kulikuwa na tubinti tunapishana mlangoni bila kujijua kama tuko twingi. Tunafanya usafi na kila kitu tukitegemea siku moja tutakuwa mrs wangu. Mara akaibuka FESTILEDI Akakamata nchi, mpaka leo hajawahi kujuta na kitanda anatandika kama kawa!
 
Ok! Then tell me why didn't you marry your brother? Isn't he handsome?


uctake kuleta mambo marefu marefu hapa....tukiwa boy/gal friend tulikuwa tunafanya hayo mapenzi kama kawa, wachumba pia so cdhani kwamba hicho ndicho kilimfanya/nifanya anioe/niolewe mana alikuwa anakipata tu hata bila ndoa.....kuna la zaidi kwa upande wangu, na kwa upande wako ni hilo tu so naheshimu mawazo yako.
 
Hahaha! Kila utakayemuuliza hapa atasema hubby wake anamfanyia hivyo. Hata wife wangu huwa namsikiaga akijifagilia kwa wenzie jinsi navomsaidiaga! Kalaghabaho! All men same same. Nimesoma boarding school tangu O-level mpaka chuo, sikuona tofauti yetu. So, women, keep on cheating yourselves.

Kaka vipi?? mbona wapo wanaosaidia japo mara moja moja, pia wapo wanaochacharika kuliko hata wake zao, halafu kuna wale majority ambao wanaungana na yule muimbaji aliyesema eti sijui maharage yanaungua na "kazi za ndani haziishi mke sina...mke mweema anatoka kwa Bwana..."

yaani utafikiri anatafuta house girl vile??
 
nakwambia Nyamayao, kuna wababa wengine ni balaa kana jehanam, mtoto mpaka anakua hajawahi kuogeshwa, kubadilishwa nepi wala kulishwa na baba yake, baba akiwa amempakata akilia tu anakabidhiwa kwa mama haraka sana,
Sasa tatizo liko wapi hapo?
 
jamani mfano mama pinda /shein/salama wanatandikaga vitanda wale kweli??mnajua ni moja ya mazoezi
 
Sasa tatizo liko wapi hapo?

tatizo na kwamba watoto wanakosa mapenzi ya baba, yaani watoto jinsi wanavyokuwa wakubwa hata wanavyoongea na baba ni tofauti na anavyoongea na mama kwa sababu u close wao na kina baba una walakini, sio vizuri jamani...tuwatendee haki watoto
 
Pididdy...i like ur paradigm shift.
Mada kama hizi ndizo zitaleta mabadiliko ya kweli katika maisha ya mTanzania kueleka maisha bora!
 
Sisemi ni lazima lakini inapendeza husbands watandikie vitanda pindi wifes wakiwa hawapo, eg, kusafiri kwenda kazini mapema etc, vinginevyo cku wife yuko nyumbani basi aingie deep kwenye usafi, eg, kubadilisha mashuka, kumop nk nk.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom