Siwaelewi wanaume wa karne hii

Siwaelewi wanaume wa karne hii

Hakunaga ex mkwe wewe, once mkwe basi ni mkwe tu.

Tunawapenda sanaa pamoja na pesa zenu. Kama Extrovert amesema pesa zake zimeshikana na roho, sasa utampendaje bila kupenda na pesa zake? Huoni hayo ndio mapenzi ya dhati!
Hahahahahahaha
 
Anaemtafuta mwenzie ndio anapaswa atafute cha kwenda nacho.

Mimi nina uzoefu kiasi wa kutongozwa kimapenzi na Wadada

Mara nyingi nyie mkianza kututongoza, kutushobokea na kututafuta, mnachokujaga nacho ni papuchi tu na vijizawadi vya biskuti, apple, na attention.. basi na sisi tukianza kuwatafuta, tutakachokuja nacho ni dushe na vijizawadi vya biskuti, apple na attention.

Imeisha iyo Espy
 
Kama mm nilivyokuwa muhanga, baada ya kupigwa chini na magu, hakuna rangi naacha kuona kwa hawa viumbe

Yaani hela tuwape wao tu siku cc tukifulia tunaonekana takataka
Yani anasahau kama ulimlisha miaka 10 bila kuomba risiti 😂 yeye anakuona ng’ombe tu
 
Mimi nina uzoefu kiasi wa kutongozwa kimapenzi na Wadada

Mara nyingi nyie mkianza kututongoza, kutushobokea na kututafuta, mnachokujaga nacho ni papuchi tu na vijizawadi vya biskuti, apple, na attention.. basi na sisi tukianza kuwatafuta, tutakachokuja nacho ni dushe na vijizawadi vya biskuti, apple na attention.

Imeisha iyo Espy
Mwanamke akikupenda wala hakusumbui na mambo ya hela😂 ila ukijipendekeza tu baba jiandae 😂
 
Mkipendwa mpendeke, konokono nyie!
Na uzuri mkitupenda hamjagi na file la mizinga! Utaratibu huu upo kwa wale jamaa ambao wameshindwa kubalansi shobo tu 😂!
Mwanamke akipenda ni papuchi...papuchi...papuchi...papuchi...gift kidogo....papuchi...papuchi...papuchi....yani mpaka sasa unasema mama tupumzike kidogo!

Swala pesa huwa hamligusii kabisa maana mnajua ni kero kubwa na ukosefu wa adabu! Labda uanze kumpatia tu ya kufulia kufuli lake!
 
Mimi nina uzoefu kiasi wa kutongozwa kimapenzi.

Mara nyingi nyie mkianza kututongoza, kutushobokea na kututafuta, mnachokujaga nacho ni papuchi tu na vijizawadi vya biskuti, apple, na attention.. basi na sisi tukianza kuwatafuta, tutakachokuja nacho ni dushe na vijizawadi vidogo na attention.

Imeisha iyo Espy

Unatongozwa!! Yewooomi[emoji2297][emoji2297]

Umesema wanakuja na "papuchi tu", halafu ukaongezea na vingine. Hebu futa hiyo "tu" Yaani mtu kaja na vyote hivyo bado unalalamika tu[emoji2297][emoji2297]
 
Nyie SI mnalilia usawa??????

Huu upuuzi wenu ndo umesababisha wanaume tubweteke, wengine wakose nguvu za kiume, wengine wasione shida kukaa TU Kwa baba zao maana wanajua wanatahangaikia vitu ambavyo mwisho was siku mnaleta ujinga.

Yaani mtu apambaaaane ajenge, awe na biashara, awe na Mali Fulani halafu aje aoe nyie ndezi kwenye mahusiano mumletee mambyo ya usawa ndoa ikifa mkombe nusu ya Mali yake??

Pumbavu.
 
Mimi ni mwanamme wa siku hizi na laki 3 siwezi kukupa kizembe hivyo eti sababu una mbususu.
By the way ukimuona mwanamke analalamika wanaume wa siku hizi hawahudumii wanataka sex tu, jua hana thamani yoyote anaileta kwa huyo mwanaume zaidi ya sex.
 
Back to you mtoa mada, hivi ulitegemea huyu mtoto wa wenyewe akupe pesa na kazi hana? Aibe au? Unadate na mtu anakula kwa shikamoo halafu utegemee pesa kweli[emoji2297][emoji2297]

Ila nyie wenye kazi toeni tu jamani na mtabarikiwa[emoji1787][emoji6]
 
Aaah we!! Mkiombwa na mnaowapenda walaa hamtoi povu. Hapa unajifanya nunda la kipare kumbe umetoka kumsomesha muamala mtoto wa wenyewe huko.
😅😂😅😂😂😅😅😅 ati ninii
 
Back
Top Bottom