Sivutiwi na wanaume wenye vitambi

Sivutiwi na wanaume wenye vitambi

Ha ha kitambi huwa kinakuja tu.. Nikiangalia picha za zaman huwa najiuliza ndo mimi kweli, pesa huwa zinakuka na kitambi/unene hilo halina ubishi!
Nachukia kitambi japo naweza kukipata mbeleni mambo yakinyoka maana hatukawii kujisahau/kurizika na kuanza kujimwambafai kwa mafanikio jambo ambalo linakuwa chanzo cha kupata vitambi ovyo ovyo
 
Ha ha kitambi huwa kinakuja tu.. Nikiangalia picha za zaman huwa najiuliza ndo mimi kweli, pesa huwa zinakuka na kitambi/unene hilo halina ubishi!
Kuna kinachokuja na mabadiliko ya unene..lakini isiwe too much kama pichani
 
Ile mimafuta inayojirundika mbele naijiuliza hawaioni?
Hata kama ni maisha mazuri na kuridhika ni ngumu kujali afya na muonekano?


Hahah mtuache tu jamani..umewah muona mdada slim anaendesha ndinga kali shakira?deffinetly huwa hawapendezei..ss mkute mmama ana kitambi chake mkonon kashika ufunguo wa prado...mkono mwingnr ana wallet imejaa hela wanapendzaga bwana wamama wa hvy wakifikaga saluni hat huwa hawauliz bei..akifika anachaguliwa msuko anasukwa..njoo kwa maskini sasa...kila msuko atataka ajue bei ya rasta plus ya ususi .usishangae akafika robo kichwa anasukwa akasema fumua nimeona bajeti haitatosha🤣🤣!...
 
Back
Top Bottom