Sivutiwi na wanaume wenye vitambi

Sivutiwi na wanaume wenye vitambi

Ni kweli kabisa
Haipendezi kwa jinsia zote
Nachukia kitambi japo naweza kukipata mbeleni mambo yakinyoka maana hatukawii kujisahau/kurizika na kuanza kujimwambafai kwa mafanikio jambo ambalo linakuwa chanzo cha kupata vitambi ovyo ovyo
 
na ni afadhali ya mwanaume na si mwanamke, all in all kitambi sio ishu kabisa. Tu control life style
Wanawake wakivipata wanakuwa mabonge sana(mwili wote) hadi nyama zinaanza kuning'inia, wanakosa mvuto jumla jumla.

Tuzingagie life style zuri hata kama tunarizika kutokana na mafanikio tunayoyapata
 
That's yo personal issue...baki nayo moyoni kwako
 
Wanawake wakivipata wanakuwa mabonge sana(mwili wote) hadi nyama zinaanza kuning'inia, wanakosa mvuto jumla jumla.

Tuzingagie life style zuri hata kama tunarizika kutokana na mafanikio tunayoyapata
Ile mimafuta inayojirundika mbele naijiuliza hawaioni?
Hata kama ni maisha mazuri na kuridhika ni ngumu kujali afya na muonekano?
 
Back
Top Bottom