Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Toka usingizini. Molembe hzi ni zama biashara si lazma we uelewe ila wao wapge pesa,na kama mpk leo kipo knalipa manaake.
 
Last edited by a moderator:
Vipindi vingine vinaendana na rika au kundi fulani,ndio maana kuna vipindi vingine watoto wapo makini kuvifuatilia lakini watu wazima hawana muda navyo,mfano kipindi cha katuni.Vipindi hivi vya hawa kinadada kwa jinsi nionavyo vinafuatiliwa zaidi na wanawake,na kama mwanaume basi ni yule anayependa mambo ya kike au mwenye kupenda kuchunguza maisha ya watu
 
wewe mama acha kuwaza ujinga kama mende aliyekunya sumu! jadili mada iliyo mezani acha kujadili personal issue ya mtu anzisha uzi wako!

Hahahaha najadili ndio kwani ajee...akwendreeeee kwani wao mbona wanaleta mambo yao binafsi mfuuuuuuuuu zao
 
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.

Mkuu yaani wewe umewaza kama mimi.... Hivi vipindi ni vya hovyo sijapata kuona... Wamekosa kabisa ubunifu hawa watu wanaonesha vitu vya hovyo sijapata kuona... Huwa nabadili channel kama ninavyobadili nikiona matangazo ya kijnga kama yale ya QFL godoro Dodoma sijui
 
Havına hata matangazo ya kutosha.Ni kweli kabisa vile vipindi havieleweki, hata havitoı burudani yoyote.
Wale wa team nani sijui hawakuelewi maana kuna watu wakiwaona tu hao wakuu wa team zao ndio burudani kwao ndio maana na EATV wakaona ni fursa ya kiiashara na lazima wanatengeneza ela kutokana na hicho kipindi, hii ndio Tanzania yetu ukileta kipindi cha ufugaji wa nyuki wa kisasa hakuna anaekusikiliza
 
Back
Top Bottom