super_gangster
Member
- Dec 2, 2014
- 53
- 7
hadi Mimi Ndo sielewi kabisa
hadi Mimi Ndo sielewi kabisa
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
kituo cha tv TBWAY ndio mtayarishaji wa vipindi mtu hata degree haijui maana yake ni nini
wategemea kuna kitu hapo?
Wakati Ndugu Zao Ni MASIKINI Wa Kutupwa!
Wewe muongo Vipindi tajwa havitayarishwi na T bway bali vinaletwa tuu ni vipindi binafsi na kinacho fanyika ni uhariri tuu! Kwanza kwenye mambo hayo uzoefu ndio kila kitu..T bway ana shirikiana na maproducer zaidi ya wawili kuandaa Friday night live.
Vipindi vile si vya kisanaa kabisa.
siangalii tena.
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
Sasa na wewe kama unataka elimu si uende chuo ukasome mpaka uwe profesa?. Kwenye tv unataka elimu gani tena
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
Wewe muongo Vipindi tajwa havitayarishwi na T bway bali vinaletwa tuu ni vipindi binafsi na kinacho fanyika ni uhariri tuu! Kwanza kwenye mambo hayo uzoefu ndio kila kitu..T bway ana shirikiana na maproducer zaidi ya wawili kuandaa Friday night live.
EATV ni stesheni maalum kwa ma house maid. Wafanya kazi wa ndani. Wao wanaelewa maana ni levels yao. Wewe tafuta DSTV Uangalie discovery au history channel vilivyoandaliwa kisomi kwa ajili ya wasomiKuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.
Aah ile ya The real wives of Atlanta ni shidaaaaaa! Wana pesa hadi wanakufuru sometimes!Ni burudani mkuu kuona watu wakiendesha magari yao wengine hatuna wakila hoteli nzuri kama unalipia king'amuzi ni sawa na vile vya marekani cha Keeping up with Kardashians au Ice loves coco au The real wifes of Atlanta
Ukiangalia hivyo vipindi hakunatofauti na kusoma magazeti ya udaku ukiwa ofisini!!
Hakuna cha sanaa wala nini
Tz badi tupo nyuma sana watu wengi hawaelewi
Yaani mtu anatuletea mambo anayofanya huko kwake hee but eatv si wanavuta chao hawajali!
Bora wangeonyesha hata tom and jerry