Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Sivielewi vipindi hivi vya EATV

Punguzeni wivu na ushamba sio lazima kuangalia EATV..

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.

Jaribu kufuatilia kipindi cha keeping up with the kardashians DSTV ndio utapata picha.
Kwa kifupi ni kuwa vina lengo la kumpa mtazamaji mwanga juu ya maisha ya kila siku ya wahusika hao. Si lazima kila mtu avifurahie ila kuna kundi kubwa la watu wanaovipenda na ndio walengwa hasa.
 
kwakweli wanachezea hel a tu siwachukue watoto yatima wawatunze mf. jaydee hana mtoto iyo hera anayo chezea angetafuta hata watoto kumi akae nao awasili kama watoto wake kuliko kutuonyesha hata akiwa chooni
 
Kwahyo unataka kuniambia mzee azam hana ndugu zake ambao ni maskini? kwan hao wasanii ni kina nani hadi wasiwe na ndugu maskini?

Yawezekana Tukawa Tunatofautiana Mitazamo Na Uelewa Wa Jambo au Hoja Fulani.
 
Hivi huyo jide kwenye hiyo diary yake eatv amewahi onyesha anavopigwa na gardner?
Maana kipindi si ni real life, mnaotizama mtujuze.
 
kwakweli wanachezea hel a tu siwachukue watoto yatima wawatunze mf. jaydee hana mtoto iyo hera anayo chezea angetafuta hata watoto kumi akae nao awasili kama watoto wake kuliko kutuonyesha hata akiwa chooni

Hivyo vipindi havina maana yoyote
I mean havina tija wala nin katika jamii
nonesense kabisa bora wakatoe korie na mchele kwenye vituo vya yatima
 
Kuna vipindi viwili Eatv diary ya Lady jaydee na In my shoes ya Wema Sepetu nimejaribu kuangalia vipindi nimeshindwa kuelewa lengo lake hasa ni lipi sioni vinatoa elimu yoyote kwa jamii.

Ukiona kama hauvielewe basi haujaandaliwa wewe,waliondaliwa huwa hawakosi kuangalia ikifika saa tatu jumapili.
 

kituo cha tv TBWAY ndio mtayarishaji wa vipindi mtu hata degree haijui maana yake ni nini
wategemea kuna kitu hapo?

Kumbe degree ndio huboresha ehhh......?
Aiseeee.......!!
 
Wivu ndo mnyama gani wewe mzee
Kuna mambo ya maana ya kufanya si watu kutuonyesha sandarusi mabakuli sahani na blablabla angeenda kupanda mbegu tumboni abebe mimba
Huo ni ukosefu wa familia na angekuwa na watoto asingekumbuka hata upumbafu huo anaofanya on air
Labda unambie anapunguza machungu ya ugumba wake??? Siwez ona wivu wala nini sabu nasaka ugali kwa nguv zangu we mzee

wewe mama acha kuwaza ujinga kama mende aliyekunya sumu! jadili mada iliyo mezani acha kujadili personal issue ya mtu anzisha uzi wako!
 
wanasema kioo cha jamii. kuna kioo hapo kweli. labda wa mjini mjiangalie lakini kwa mimi wa dodoma vijijni inaniboa tu. ila yule alosema biashara wadhamini mapato ili kulipa kodi labda. ila naona ni maendeleo ya kuiga wenzetu. kuna kipindi cha wale kadashans wanaonyesha wanavyokwenda kutalii nchi mbalimbali, maisha yao pia nimeona kipindi cha Omotola na maisha yake na familia yake. mi naona tunajiongeza tuwe kimaendeleo zaidi nasi tuwe na program km wenzetu. kwa mawzo yangu lakini a mh!
 
Pia ni sehemu ya EATV kujiingizia kipato na kuiwezesha serikali kukusanya kodi maana washabiki wao wataangalia hivyo wadhamini wa kipiti wanapata mileage ya kutosha

Havına hata matangazo ya kutosha.Ni kweli kabisa vile vipindi havieleweki, hata havitoı burudani yoyote.
 
Back
Top Bottom