Siuoni mchango wa wabunge toka visiwani kwenye bunge la Muungano

Hoaxer

JF-Expert Member
Sep 7, 2022
2,726
6,781
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
 
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
Ni kweli kwenye mambo yasiyo ya muungano wabunge wa Zanzibar hawatakiwi kuwemo bungeni.Hayawahusu

Inaongeza bure tu gharama za bunge.
 
Ni sahihi kabisa hawa wanaifilisi tu tanganyika.wizara siyo ya muungano lakini wanalamba posho kila kikao.wanavuna posho za tanganyika na kupeleka kwa mwanakwelekwe
 
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
Mbunge mmoja wa bara anawakilisha watu wengi zaidi ya wabunge wote 54 wa Zanzibar sasa wanasema nini? Wao ni kula posho tu.
 
Kuna mbunge mmoja enzi hizo kutoka Zanzibar alikuwa machachari sana kuchangia bungenj, alikuwa hakubali kupitwa.

Mbunge huyo alikuwa anaitwa Hamad Rashid kutoka Cuf ya Lipumba na Seif. Sijui huyu jamaa alikuwa anajichanganya sana bara?

Sasa hao wa sasa hivi unakuta hata Singida jirani na Dodoma hawapafahamu. Kwa kifupi itakuwa hawana exposure na mambo ya bara ndio maana wanakaa kimya kuliko kuongea ukaishia kupuyanga kama Babu Tale.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Nchi hii kwa mfumo wa utawala tulio nao kuna uvujaji mkubwa sana wa mapato usioleta tija
 
wana uwezo gani wa kuchangia lolote hao wana mdebwedo? kwanza unakuta kajitu kanawakilisha kieneo kidogo kama kata hivi then kanaitwa Mbunge yaani ni mambo ya ajabu sana , halafu wanataka wapewe haki sawa za kimaamuzi 50/50 ni ujinga kabisaaaa kwanza wengi hawana shule ya maana na expossure zao ndogo sana ndio maana watu wengi wanataka huo muungano feki uvunjwe maana wanaofaidika nao ni wachache sana.
 
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
 
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
na hao wanaolalamika mna udini na ukanda ni wabunge wa bunge gani? Hoja ni nzuri watoke inapojadiliwa wizara isiyo ya muungano, haina maana kupokea posho
 
Huwa naangalia Sana bunge letu likiwa live. Huwa sioni mchango wa wale ndugu 54 kutoka Zanzibar ilhali kila siku wanachukua posho.

Nashauri Kama inajadiliwa wizara isiyo yamuungano, hawa 54 wasiingie bungeni na wasipewe posho kwa siku husika.

Mbunge kutoka Zanzibar atachangia nini kwa mfano kwenye bajeti ya wizara maji?
Una macho lakini hayaoni, una masikio lakini hayasikii.


Mama anaupiga mwingi Kimataifa.
 
Je kwani Tanganyika ina wenyewe? Naamini zanzibar inao wenyewe
Je Tanganyika wenyewe ni kina Nani?
 
Kuna nakala aliwai kuandika Jaji Wolfogong Durado chenye kichwa cha Habari TANGANYIKA YAIONYA ZANZIBAR, tafta uisome utapata majibu ya hayo mawazo yako
 
Naunga mkono wabunge toka Zanzibar wapigwe marufuku kuchangia mambo yasiyohusu muungano na ratiba ya vikao vya bunge ipangwe mambo ya Muungano yakiisha Wanzanzibar warudi kwao wakalime karafuu
 
Back
Top Bottom