Leak
Platinum Member
- Feb 22, 2012
- 52,939
- 43,569
Kwa hiyo unajaribu kusema aache ustaarabu na amewasaliti?Lini wapinzani wa Bongo wamewahi kulipwa kwa siasa za kistaarabu?Huyu Lema kesho na keshokutwa atapigwa virungu kama sio mabomu ya machozi na nyie wafuasi wa CCM mnaomsifia leo hii ndio mtakuwa wa kwanza kumkejeli na kumdhihaki na hata huyo anaemtetea leo hii nae hatamsaidia kwa lolote.