Ndalama
JF-Expert Member
- Nov 22, 2011
- 8,787
- 6,542
Lema umechemka tena mbona ulikaa kimya mkapa alipowaita sumaye na Lowasa wapumbavu. Kwangu mimi upumbavu ni tusi kubwa kuliko bwege. Sheria lazima zifuatwe na watanzania wote akiwemo rais na mawaziri
Kwahiyo kama alifanya kosa kwa kutokemea wakati huo aendelee kufanya kosa?