MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,279
Mkuu Godbless J Lema Mbona wewe ulimuita waziri Mkuu Pinda MWONGO kama SHETANI? Bwege na shetani lipi kubwa?
Hata mimi siungi mkono, ila adhabu aliyopewa huyu kijana ni kubwa kuliko! Hatukuwa na namna zaidi ya kumuwezesha ili amalizane na tatizo hilo.
Hata hivyo hii sheria ya mtandao ni kandamizi mno halafu inakata upande mmoja.
Hata mimi siungi mkono, ila adhabu aliyopewa huyu kijana ni kubwa kuliko! Hatukuwa na namna zaidi ya kumuwezesha ili amalizane na tatizo hilo.
Hata hivyo hii sheria ya mtandao ni kandamizi mno halafu inakata upande mmoja.