Umeenda mbali sana, sidhani kama ushoga tunaupinga kwa sababu ya Dini tu, ila tamaduni zetu hasiruhusu pia. Alafu mkuu mtu akisha kuwa shoga tayari hasara kwa Taifa, nguvu kazi ya kiume imepotea tayari, shoga hamudu kunyanyua vitu vizito vilivyowekwa chini mfano ndoo ya maji, tofari, nyunia Nk. Unaponyanyua vitu vizito kuna misuri lazima ikaze, shoga wengi hulegea kama wanawake tu, hawamudu kazi ngumu tena tena afadhari ya mwanamke. Fikiria mwanao wa kiume umentuza vizuri umemsomesha, sasa anataka kujitegemea, alafu siku ya siku akuletee habari amepata bwana mwenye pesa zake anataka kuolewa nae, wewe kama mzazi utaipokea kwa furaha tu, eti ushoga wake haukuhusu. Mimi naamini madhara ya ushoga, madawa ya kulevya, jambazi na mabaya mengine yanatuhusu sote kama Taifa. Mbona tunapiga kelele kuhusu Chid Benz na Ray C.