Siungi mkono Rais kutukanwa!

Siungi mkono Rais kutukanwa!

"Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.

Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"

Godbless Lema (Mp)
Brilliant
 
Wewe ndiyo unajiona unaakili sana, mkuu nakushauri usipende tabia kuona wewe unaelewa, eti wenye mtizamo tofauti wote hawana akili, kuto jua Lugha ya staha ndicho kinachotupelekea kuwepo mjadala huu. Kwa nikubariane na wewe awe Rais au kiongozi mwingine au mtu yeyote yule, asipokuwa na Lugha ya staha asitegemee kuheshimiwa na jamii. Sioni kama mada unauhusiano na Rais kutokua na staha na naamini hayuko hivyo, inahusu kutukwanwa Rais, nikwambie tu Rais ni raia kama wewe na mimi sawa, ila ana hadhi tofauti na wewe na mimi. Ndiyo maana anapewa ulinzi wewe hulindwi, lakini hata hadhi ya wazazi wako hailingani na yako, ndiyo maana unaona mtu akitukanwa yeye shuguri yake yaweza kuwa ndogo tu, ila mzazi wako hee, moto wake hauzimwi kirahisi.
Utaweza kuwa ndogo kutokana na mhusika na mahusiano yake na mtukanaji , sheria za nchi na urahisi wa kuihitaji hiyo haki.

Upumbavu wako ni kukataa ujinga wako haswa pale unapochangia huku ukiwa na fikra potofu na za kitumwa. Akili yako imempa rais nafasi pekee zaidi yako isiyohojiwa bado unadai haki ulizosema haziguswi.
 
Rais wa Marekani anaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo la bwege...
Sheria hizi lengo ni kuleta hofu kwa ujumla kwa watu
wasiwe free kumkosoa....
Marekani ya leo siyo ya kujifananisha nayo hasa linapokuja suala la maadili! Hatuwezi kukubali Rais wetu atukanwe kisa Obama amatukanwa. Rais wetu anatofauti kubwa na rais Obama kimsimamo na kimaadili lazima tukubaliane na hili. Lazima TUJITEGEMEE katika maamuzi yetu ya kujiongoza.
 
"Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.

Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"

Godbless Lema (Mp)
Basi kama sio bwege, ni mwendokasi.
 
Marekani ya leo siyo ya kujifananisha nayo hasa linapokuja suala la maadili! Hatuwezi kukubali Rais wetu atukanwe kisa Obama amatukanwa. Rais wetu anatofauti kubwa na rais Obama kimsimamo na kimaadili lazima tukubaliane na hili. Lazima TUJITEGEMEE katika maamuzi yetu ya kujiongoza.
President akiwa bwege hatuwezi kumuita malaika napinga vikali kauli ya lema. kama angefanya kazi alotumwa kufanya tungemsifu na tungemuita better words juzi alizuia sukari kutoka leo imeagizwa kutoka nje utamuitaje mtu wa sampuli hii mr lema am a big fan of ur work but call a spade a spade
 
Rais wa Marekani anaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo la bwege...
Sheria hizi lengo ni kuleta hofu kwa ujumla kwa watu
wasiwe free kumkosoa....
Funguka ndugu.
Free kukosoa au free kutukana
Nani aliyekosoa kistaarabu ameguswa
 
"Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.

Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"

Godbless Lema (Mp)
Umeandikwa ukweli kabisa mheshimiwa, nasi nakuunga mkono japo bado wengine wataendelea kuhoji.

Yawezekana kuna nchi nyingine rais huitwa kwa maneno mengi na mabaya zaidi lakini nafikiri bado haitoshi kuhalalisha utovu huu wa nidhamu. Tusifike huko. Kuna mengi mazuri ya kuiga lakini si hili.
 
Hata mimi siungi mkono kumtukana Rais. Kwa nafasi yake hana tofauti na baba yako. Adhabu alopewa huyo ni kutoa fundisho wengine wasije fanya ivo tena.
 
Umeenda mbali sana, sidhani kama ushoga tunaupinga kwa sababu ya Dini tu, ila tamaduni zetu hasiruhusu pia. Alafu mkuu mtu akisha kuwa shoga tayari hasara kwa Taifa, nguvu kazi ya kiume imepotea tayari, shoga hamudu kunyanyua vitu vizito vilivyowekwa chini mfano ndoo ya maji, tofari, nyunia Nk. Unaponyanyua vitu vizito kuna misuri lazima ikaze, shoga wengi hulegea kama wanawake tu, hawamudu kazi ngumu tena tena afadhari ya mwanamke. Fikiria mwanao wa kiume umentuza vizuri umemsomesha, sasa anataka kujitegemea, alafu siku ya siku akuletee habari amepata bwana mwenye pesa zake anataka kuolewa nae, wewe kama mzazi utaipokea kwa furaha tu, eti ushoga wake haukuhusu. Mimi naamini madhara ya ushoga, madawa ya kulevya, jambazi na mabaya mengine yanatuhusu sote kama Taifa. Mbona tunapiga kelele kuhusu Chid Benz na Ray C.
Nahonyo, uko sahihi kabisa kabisa ! 100%. Argument yangu ni kuwa ushoga ni personal issue. Ni uhuru wa mtu - hakuna haki ya jamii iliyovunjwa. Mila ni mambo yanayobadilika as long as huvunji haki ya mtu au jamii! Ni kama tendo la ndoa, haliruhusiwi hadharani lakini watu wanafanya vyumbani. Sitetei ushoga, ila natetea haki ya mtu kuwa huru bila kuvunja haki binafsi ya wengine au jamii! Mwanangu akifanya ushoga nitamfukuza kwangu na kumtolea radhi, lakini uhuru wake afanyie huko sio kwangu na sitamuingilia kwake!
 
Hata mimi siungi mkono kumtukana Rais. Kwa nafasi yake hana tofauti na baba yako. Adhabu alopewa huyo ni kutoa fundisho wengine wasije fanya ivo tena.
Rais ni ruksa kutukana? (vil aza ), Kuonea? Kuvunja haki za binadamu? Kuvunja katiba?, sheria?
 
Ukweli hauna pande mbili, Lema ulichosema ndicho binadamu yeyote mwenye staha na heshima za kibantu angesema.

Haijalishi eti mkubwa akikosea basi nawe utende kosa katika kumkosoa. Naungana nawe mbunge wangu.
 
"Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.

Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"

Godbless Lema (Mp)
Sasa mwenye haki ya kutukana ni nani mkuu?kwahiyo kuna watu maalumu wa kutukanwa na wengine si ruhusa kutukanwa?
 
Rais wa Marekani anaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo la bwege...
Sheria hizi lengo ni kuleta hofu kwa ujumla kwa watu
wasiwe free kumkosoa....
Rais anayeshabikia wanaume kuoana unadhani atajua kama bwege ni kashfa. Ndugu si kila jambo linalofanywa na Marekani ni sahihi. Tuache tabia ya kila kinachofanywa kukifananisha na Marekani.
 
Wakiitwa wao wanachukua hatua za kuwafunga walio warudishia. Ila wao wakitukana wananchi ni sawa!? Oooh malofa, wapuuzi, mabwege, vihiyo, nk.
Baba ukikosa heshima watoto watakuiga na usishangae.
 
Lema naona unatafuta kick at the wrong place, sidhani kuwa neno 'Bwege' linafanana na faini ya millioni saba, jaribu kuwaza vizuri nasio kuwaza kwa kutumia masaburi
 
Bwege si tusi. Ni neno lenye maana katika lugha ya Kiswahili.

Angeukizwa kwa nininkasema rais bwege ajitetee.

Kwangu mimi Magufuli ni bwege.

Kwa sababu hajui kachagukiwa kufanya nini.

Kachagukiwa kutetea utawala wa sheria halafu anawaambia polisi waibe matairi ya magari na kudanganya kwamba hawajaiba kama vike magari yanaweza kuja kituoni bula matairi.

Rais anayetoa kauli hii ni bwege.
 
Back
Top Bottom