Nahonyo, uko sahihi kabisa kabisa ! 100%. Argument yangu ni kuwa ushoga ni personal issue. Ni uhuru wa mtu - hakuna haki ya jamii iliyovunjwa. Mila ni mambo yanayobadilika as long as huvunji haki ya mtu au jamii! Ni kama tendo la ndoa, haliruhusiwi hadharani lakini watu wanafanya vyumbani. Sitetei ushoga, ila natetea haki ya mtu kuwa huru bila kuvunja haki binafsi ya wengine au jamii! Mwanangu akifanya ushoga nitamfukuza kwangu na kumtolea radhi, lakini uhuru wake afanyie huko sio kwangu na sitamuingilia kwake!