Nyenyere
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 14,842
- 10,765
Kuna matukio ambayo moja kwa moja yanadhalilisha mamlaka, si mtu. Ukinisukuma nyenyere mie si habari kwani tutazozana yakaisha. Lakini ukamsukumu waziri mkuu, umeisukuma mamlaka iliyo ndani yake. Sidhani kama mwisho wake utakuwa mwema. Fact of life!Hoja yako ni nini sasa hapo?