MAGALEMWA
JF-Expert Member
- Jul 8, 2015
- 6,413
- 4,888
Aisee imeniuma tutamchangia Isaac alipe hiyo fainilema anewageuka wana Arusha teh teh bora mngemchagua Monaban
Aisee imeniuma tutamchangia Isaac alipe hiyo fainilema anewageuka wana Arusha teh teh bora mngemchagua Monaban
Kikubwa nilichomwambia The boss, ni kuwa jambo jema tu ndilo huigwa bila kuangalia linatoka nchi gani, na jambo baya halipaswi kuiga hata lifanywe na nchi iliyoendelea. Maneno ya kuudhi, matusi hata umuelekezee mtu wa kawaida asie kiongozi hatoridhika, basi hatakuwa nguvu ya kukufanya chochote, yote kwa yote mimi na wewe hatuwezi jifananisha na hadhi ya viongozi, iwe viongozi wa dini, Siasa na nyanja nyingine.Hizi dhana za kuwatukuza viongozi na kuwaona na super beings ndo maaana wanatuibia kila siku . Uongozi ni dhamana tu haumu elevate mtu kuwa above other human beings. Kwenye nchi kama North Korea, China, Rwanda etc huko ndio kuna tamaduni kama hizo za kidikteta Kiongozi anakuwa Mungu wa pili sababu inaeleweka inaongozwa kwenye hiyo misingi ya kidikteta.Sasa nchi yetu ni ya kidemokrasia,,,huu utukufu wa viongozi tunaokuza gafla kwenye Awamu ya tano unatuweka kwenye same periscope na nchi kama Rwanda na North Korea
Mwaka 2013 kundi la kigaidi la ISIS lilipoanza kufanya matukio na baada ya kuona serikali ya marekani inachelewa kuchukua hatua za kijeshi, jamaa mmoja ambae ni mmoja wa malegend wa republican party alimwita Obama "black brained leader" na hakuna prosecution yoyote aliyofanyiwa.Rais wa Marekani anaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo la bwege...
Sheria hizi lengo ni kuleta hofu kwa ujumla kwa watu
wasiwe free kumkosoa....
Na tena huyo huyo ndiye anayewaita wananchi wake vi.la.zaRais wa Marekani anaitwa majina mengi mabaya kuliko hilo la bwege...
Sheria hizi lengo ni kuleta hofu kwa ujumla kwa watu
wasiwe free kumkosoa....
Unapo muheshim mwenzio naw utaheshimiwa, usipo muheshim mtu usidhani kama nawe utakuwa salama kupata heshima."Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.
Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"
Godbless Lema (Mp)
Yule mbunge hiyo ndio a.k.a yake...hata mwenyewe anajiita hivyo hivyoHv mbona speaker tulia alimwit mbunge bwege??
sasa Tanzania ni Marekani?Mwaka 2013 kundi la kigaidi la ISIS lilipoanza kufanya matukio na baada ya kuona serikali ya marekani inachelewa kuchukua hatua za kijeshi, jamaa mmoja ambae ni mmoja wa malegend wa republican party alimwita Obama "black brained leader" na hakuna prosecution yoyote aliyofanyiwa.
Daaah!!! Nimeanza kukuunga mkono ulipotoa ushauri kwa Waziri wa Viwanda juu ya kuhamisha General Tyre. Nadhani uendelee kumkumbusha na umpe eneo la kiwanda la wazi. Hiyo ndo siasa ila vijana wengi wa mitandaoni wameshika matusi kama sehemu ya kushindania siasa."Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.
Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"
Godbless Lema (Mp)
Rudisha to the other side.Tangu nmeanza kukufatilia post zako na hotuba zako leo ninadiriki kusema kuwa UMEPEVUKA kisiasa,Big up Mbunge wa Arusha
Wote wanafanya makosa.mkuu ni kweli kumpeleka mahakamani yule Kijana haikuwa busara, atawapeleka mahakamani watu wangapi
Si ndipo alipowahi kuchukua formula ya mkoa unakuja kuendeshea nchi yako.Sisi na Rwanda tunaanza kufanana
Ulivyokuwa unamtukana batilda burian ulikuwa unaona sawa tu au kwa sababu ni muislamu
dini ya nn Shekhe?!Hukumu si ilishatolewa na mhusika kupatikana na hatia? Anatiwa moyo namna gani tena hadi kuwa makosa..?"Ninafikiri ni vyema na muhimu tukaendelea kukosoana kwa njia mbali mbali, lakini kwa hakika kabisa siungi mkono rais kutukanwa kwa kejeli ambazo zina sura ya mizaha na sio mabadiliko, Rais kuitwa BWEGE ni kosa na utovu wa nidhamu.
Kosa hili halipaswi kutiwa moyo wala kuungwa mkono, lakini kumwambia Kijana huyu kuwa alikosea ni jambo muhimu zaidi na la busara"
Godbless Lema (Mp)