Baniani Mzuri
Senior Member
- Nov 7, 2010
- 163
- 87
Ungetafuta nafasi kwenye gazeti la Tanzania Daima nadhani ungesomeka vizuri.
Kwann lisiwe Uhuru...?
Ungetafuta nafasi kwenye gazeti la Tanzania Daima nadhani ungesomeka vizuri.
Mama soma na utafakari acha kukurupuka....
Ungetafuta nafasi kwenye gazeti la Tanzania Daima nadhani ungesomeka vizuri.
Ungetafuta nafasi kwenye gazeti la Tanzania Daima nadhani ungesomeka vizuri.
Ni wakati wa Ulimboka kutafakari u nyeti wahuduma mahospitalini,
si furahishwi na alicho tendewa ulimboka ila pia sifurahishwi na maamuzi ya madkari akiwemo na Ulimboka kama kinara wa mgomo,
naamini dr ulimboka akipata nafuu anaweza hisi watanzania wanateseka kwa kiwango gani na migomo yenu,je kama wewe ungeachwa bila huduma nini ingekua hatma ya maisha yako?
lazma tuache ushabiki kwani watu wanaangamia kwa mgomo huu,
ni ajabu watu kuonesha huruma kwa ulimboka pekee ambae kimsingi hakuwahurumia wagonjwa wenye hali kama yake au mbaya zaidi ya hali alionayo sasa.
Madkatari tafuteni njia mbadala kuwabana serikali kwani mnatuua watanzania wenzenu bila hatia
Ungetafuta nafasi kwenye gazeti la Tanzania Daima nadhani ungesomeka vizuri.
watu wengi wanasashau 'mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu' kupata kwake matatizo ni njia moja wapo ya kumwonyesha maumivu wanayoyapata wagonjwa wengine wanapokosa huduma ya daktari, naomba kuuliza mgomo huu wa madaktari anayathirika ni nani kama siyo mwananchi wa hali ya chini jamani? Wakuu wote katka serikali wanatibiwa nje ie India South afrika, Ujerumani nk, hivyo madaktari tunayakubali madai yen lkn kumbukeni na afya zetu
Baada ya kutafakari nasema, Ulimboka ni turufu iliyotumiwa na wasiyoitakia mema Serikali iliyopo madarakani:Nakubaliana na mleta mada kwa kilichomkuta Ulimboka.
Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
Mlio tumia hii turufu mmelamba jike.
we unadhani wahusika ni kina nani zaidi ya serikali dhaifu iliyoona njia rahisi ya kuzuia mgomo ni kumuua kiongozi wa mgomo,
lakini pia inabidi ujiulize,ni kitu gani ambacho waheshimiwa wanakifuata mahospitali ya huko India na Ujerumani!
Kama hicho kitu hapa Tanzania hawakioni,basi Madaktari ndo wanachokitaka.
Kikipatikana hapa basi hata waheshimiwa watakwenda Mwananyamala kama mimi na wewe na hvyo kuokoa mabilioni yanayopelekwa India na kwengineko.
gimmy's unaonaje ukianza kwa kutoa njia mbadala? Au unafikiria chini ya T10?Madkatari tafuteni njia mbadala kuwabana serikali kwani mnatuua watanzania wenzenu bila hatia