Siungi mkono mgomo wa madaktari...

Siungi mkono mgomo wa madaktari...

Nimejaribu kukaa kimya lakini nafsi yangu inanisuta.Siwezi kuendelea kukaa kimya. My opinion is unpopular, lakini nitasema
haukujua kuwa ulichokifanya ni haki yako ya kikatiba? ungelitambua hilo usingepata taabu ya kuandika waraka mreeefu, hauhitaji kutoa sababu za kutounga mkono, hivi ukiulizwa kwa nini maiti hapumui? je utahangaika kutafuta sababu?
 
kUNA MTU ANAITWA PROF BANA, nimesoma kwenye gazeti alivyochambua mgomo... he did a very good analysis kwa level yake; yaani under STP... hakuangalia kwamba hali ya sasa si ya standard temperature and pressure, hali ya sasa ni ya deprived pressure and elevated pemperature

Samahani lakini nadhani, badhi ya maprofessa wetu ndio wanaochangia kuharibu nchi kwani sidhani kama huwa wanaangalia real situation, naona wamejikita kwenye "normally, principally, according to the rule #, cap #, blah blah" ndio ilivyotakiwa kuwa

poor Bana, did think outside the box

samahani sijui namna ya kuiweka humu ila ipo kwenye either sunday citizen au sunday guardian
 
kUNA MTU ANAITWA PROF BANA, nimesoma kwenye gazeti alivyochambua mgomo... he did a very good analysis kwa level yake; yaani under STP... hakuangalia kwamba hali ya sasa si ya standard temperature and pressure, hali ya sasa ni ya deprived pressure and elevated pemperature

Samahani lakini nadhani, badhi ya maprofessa wetu ndio wanaochangia kuharibu nchi kwani sidhani kama huwa wanaangalia real situation, naona wamejikita kwenye "normally, principally, according to the rule #, cap #, blah blah" ndio ilivyotakiwa kuwa

poor Bana, did think outside the box

samahani sijui namna ya kuiweka humu ila ipo kwenye either sunday citizen au sunday guardian

Nimefundishwa na maprofesa wa chuo kikuu cha DSM ambao wengi leo ndio tunawaita ni wabobea wa mambo mbalimbali. Kwa bahati mbaya, katika kukaa kwangu na kusoma pale chuo, ninasema pasipo shaka yoyote kwamba ni maprofessor wachache sana ambao wanastahili kuitwa hivyo. Wengine wengi ni watu fulani walijibidiisha wakafaulu sana na kubaki pale kama walimu. Ila am sorry to say hawajui wanalofanya. Ni kubabaisha tu, day in day out...na kusomesha kwa madesa madesa tu halafu leo ndio wanakuwa wataaalamu wetu. Mhhh
 
Kwanini madaktari wanapenda kupeleka haya madai yao kwa kulinganisha na ongezeko la posho za wabunge kutoka 70,000 hadi 200,000 wakati wanafamu fika hilo ongezeko halikupata approval?
 
Kwanini madaktari wanapenda kupeleka haya madai yao kwa kulinganisha na ongezeko la posho za wabunge kutoka 70,000 hadi 200,000 wakati wanafamu fika hilo ongezeko halikupata approval?

You are wrong

fuatilia madai uone kama yaliongelea posho tu, usikurupuke; jifunze kwanza ili uelimishe wengine

Madai yao yako wazi, posho ni moja tu kati ya mengi
 
You are wrong

fuatilia madai uone kama yaliongelea posho tu, usikurupuke; jifunze kwanza ili uelimishe wengine

Madai yao yako wazi, posho ni moja tu kati ya mengi

Sijui kama umesoma nilichoandika.
 
Kukiwa na songombingo la kujiuliza kuwa hawa madaktari wetu , watagoma au hawatagoma?
Huku mitaani wananchi wameanza kukosa imani na hawa wataalam wetu wa utabibu kwa kutoa takwimu zifuatazo:
  • Waliomba Mganga Mkuu aondolewe-Dr Deo Mtasiwa, akaondolewa
  • waliomba Katibu Mkuu aondolewe-Mama Blandina Nyoni-ameondolewa
  • wakaomba Waziri wa Afya aondolewe-Dr Mponda-ameodolewa
  • wakaomba Naibu Waziri wa Afya aondolewe Dr Nkya-ameondolewa

Sasa serikali inavuliwa nguo, kulingana na maoni ya watu mitaani.Madaktari hawa ni kama mtoto anyedeka na hasikii la mtu.
Serikali imewachezea kete moja, imwapeleka mahakamani, mahakama ya kazi. Na mahakama imeamua kuwa kwa vile uwanja wa mazungumzo uko wazi,si ruhusa kugoma.
Mpaka naenda mitamboni nasikia madaktari wamewazungukia zaidi ya MaAdvocate saba ambao wote wamekataa kuwatetea mahakamani.
Yet macho, ukiugua leo please kimbilia kwa Toboa Tobo.
 
hoja hii ni dhaifu sana
kwani walioondolewa wizarani ilikuwa ni kwa ajili ya kuwafurahisha madaktari ama?

Madaktari wacha wagome.....in fact wananchi ndio tunatakiwa kuihoji serikali yetu imekuwaje mazungumzo yamevunjika na sasa kuna hatari inanyemelea
 
Kwa nini usiiweke kama tetesi, sioni kama kuna utafiti umefanya, hicho kijiwe kimoja ulichokuwa unapiga soga ndo unakuja na title ya madaktari kupoteza public sympathy.

Omba mungu usivunjike mkono leo, labda uende hospitali nyingine, MOI total tools down.

Na madaktari hawategemei public sympathy kudai wanachotaka, muwaunge mkono, msiwaunge ni juu yenu. Go Drs Solidarity forever!!!!
 
Propaganda za Dhaifu ziko Dhaifu mno...daktari hawezi amriwa na mahakama kupasua kama vifaa vya kupasulia ni sub-standard,hana pa kumlaza uyo anaempasua zaidi ya sakafuni(mwishowe uyo mgonjwa wake anapata maambukizi mengine kutokana na poor hygiene),yeye daktari mwenyewe ni mgonjwa kwa kuwa psychologically hayuko poa mana kaiacha familia yake ikiwa haijui nini itakula,ada za watoto wake na mahitaji mengine..ni heri wanavyogoma kuliko wakituhudumia wakati hawana morali wa kazi..infact ilibidi sisi wananchi ndio tuigomee serikali kwa kutufanya tupate huduma za afya hafifu wakati kila siku tunalipa kodi ambazo wao wanaishia kuzitumbua tu bila ya sisi kunufaika nazo!!"Ukiona mtu mzima analia mbele ya watu,basi ujue kuna jambo"
 
kimsingi madaktari wana haki ya kugoma hakuna haja ya kuitetea serikali...hakuna asiyejua serikali yetu imejaa porojo nyingi mno na haiwajali watumishi wake...hakuna haja ya kumsukumizia mdogo kosa eti kisa mkubwa ataumbuka kwa UDHAIFU wake...
 
Sijawahi kuona thread ya kijinga kama hii.. nanai alikuambia kwamba wanahitaji sympathy ya wananchi?? inaelekea hata hujui wanachokigomea, ni vyema ukafanya uchunguzi kabla hujakurupuka na kuandika uozo wako hapa!
 
Hao waliotoka ilikuwa ni sehemu ya makubaliano! lakini bado kuna madai ya msingi ambayo wanasiasa wanaona madaktari wanafanya siasa wakati sivyo!! chukulia unaenda hospital umepata ajali au umekatwa mapanga na jambazi, umefika pale unakuta madaktari walizamu wanaitana haraka haraka kukupa huduma ya kwanza ambayo nayo wanaishia kuangaliana kwa kukosa vitendea kazi, utmlaumu nani hapo? Hao hao madaktari kuna wakati wanalazimika kutoa hela yao mkononi kusaiadia wagonjwa, watafanya hivyo hadi lini?
 
Kukiwa na songombingo la kujiuliza kuwa hawa madaktari wetu , watagoma au hawatagoma?
Huku mitaani wananchi wameanza kukosa imani na hawa wataalam wetu wa utabibu kwa kutoa takwimu zifuatazo:
  • Waliomba Mganga Mkuu aondolewe-Dr Deo Mtasiwa, akaondolewa
  • waliomba Katibu Mkuu aondolewe-Mama Blandina Nyoni-ameondolewa
  • wakaomba Waziri wa Afya aondolewe-Dr Mponda-ameodolewa
  • wakaomba Naibu Waziri wa Afya aondolewe Dr Nkya-ameondolewa

Sasa serikali inavuliwa nguo, kulingana na maoni ya watu mitaani.Madaktari hawa ni kama mtoto anyedeka na hasikii la mtu.
Serikali imewachezea kete moja, imwapeleka mahakamani, mahakama ya kazi. Na mahakama imeamua kuwa kwa vile uwanja wa mazungumzo uko wazi,si ruhusa kugoma.
Mpaka naenda mitamboni nasikia madaktari wamewazungukia zaidi ya MaAdvocate saba ambao wote wamekataa kuwatetea mahakamani.
Yet macho, ukiugua leo please kimbilia kwa Toboa Tobo.
Pole ndugu yangu.Nilianzisha uzi mwingine kama huu na kuna ambao mpaka wametukana katika kuuetea mgomo.
Ningekuwa na uwezo wa kukuwasiliana na Mkuu wa Kaya ningempa mbinu moja tu ambayo ingewanyoosha na wakashika adabu.
 
Kwa watu ambao si waelewa wa nini kinachojiri ndani ya nchi yetu ndio ambao hawatakuwa na sympathy kwa madaktari, lakini wengine tunawapa support kubwa sana.
 
Rais apunguze safari zake za ndege ili hiyo allowance yake ya $10000 kwa siku yeye na mkewe hizo hela wazipeleke mahospitalini kuboresha huduma za afya
 
Back
Top Bottom