Sitta: Tuna wakati mgumu

Sitta: Tuna wakati mgumu

Sasa mkuu mimi nikudanganye ili iweje? kabla rasimu haijatoka nilileta hapa jamvini mambo ambayo rasimu imeyapendekeza ikiwamo waziri mkuu wa Tanzania kuwa makamu wa rais wa muungano kinyume na taratibu kwani anachaguliwa na watu wa jimbo moja, nikaleta lile la rais wa Zanzibar kuwa makamu wa kudumu wa Jamhuri ya muungano hali inayosambaratisha Zanzibar kama nchi yenye maslahi katika muungano achilia mbali kupoteza cheo chake cha mkuu wa nchi ya Zanzibar, pia nikatoa yale Kikwete na UKAWA waliyoongea kabla hayajawekwa hadharani, juzi nikaripoti namna Wazanzibar ambao wapo BMK wanavyotishwa..hujayaona hayo yakiripotiwa baadaye? pia ile thread ya Kikwete kuahirisha BMK hadi maridhiano wakati akiwa Marekani hukuona matokeo alipokuja? hili limetokea leo na Sitta anaonekana dhahiri kukata tamaa ingawa akija kwenu haonyeshi hivyo!

Nilitaka kukugongea like lakini nimeshindwa. Kwangu Mimi hii ni habari njema
 
mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba

pole hapo mbuzi kala mkeka lazima achinjwe subiri uone atakavyogeukwa na mafisadi wenzake tayari sita ni kafara ya katiba
 
Tena hili zee lilaaniwe kabisa.Tutaongea na Watanzania kwa lugha yoyote na mahali popote kusema HAPANA kwa usanii wa wachumia tumbo.
 
yaani mkewake magreth kamzidi akili mara mia

Uko sahihi Mkuu, mke wake kamfunika mbali sana huyu mzee. Mzee atakufa vibaya sana huyu and for sure inafikia time watu kama hawa tusingekuwa hata tunawazika kijamii, wangezikwa tu na hao mapolice wanaowalinda.

Bunge la katiba wabunge wanalundwa na police!!! How and for what??? Hata mtoto wangu wa miaka 3 anajiuliza kama hii ni kwa ajiri ya wananch why Police shika bunduki????
 
Kwa mara ya kwanza hapa Dodoma, Samwel Sitta kiongozi wa bunge maalum la katiba amekiri kwamba wana wakati mgumu.

Hayo ameyaongea wakati akiwa na kikao na kamati ya uongozi pamoja na ile iliyoandaa rasimu ya tatu ya katiba, nimethibitisha.

"Kwa kweli muda unavyozidi kwenda na kila jambo tunalofanya tunakumbana na upinzani mkali kinyume kabisa na matarajio yetu" alisema Sitta.

Sitta pia katika kikao hicho amesema kuwa anajiuliza sana ni kwa nini upepo unawabadilikia hivyo na anaonekana kukata tamaa kama rais Kikwete ataridhia rasimu ipigiwe kura mapema.

Sitta kwa mara ya kwanza tangu aanze mchakato huu wa katiba amesikika akisema kuwa ana wasiwasi huenda akageukwa siku za usoni na mahasimu wake kisiasa ndani ya CCM kwa lengo la kulipa kisasi ingawa hakugusia ni kisasi cha aina gani.

Ni ukweli usiopingika kuwa Samwel Sitta amejikuta akipoteza kabisa mvuto aliokuwa nao kisiasa baada ya kulingoza bunge la katiba na kujikuta akikosolewa na kutupiwa shutuma nzito waziwazi kama msaliti mkubwa wa wananchi kwa sasa.

.
huyu chifu dikteta s.stta a.k.a Bokasa ndie adui namba moja wa ustawi wa demokrasia katika jamii ya kitanzania kwa sasa. ametudhulumu haki yetu ya kijikomboa na udhalimu wa watawala na hivyo adhabu yake stahiki n kushushwa shimoni angali hai. hana jema lolote katika kizazi cha sasa. aondoke zake tu.
 
Mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba
tutungieni, nyie si mnaishi ulaya,uhalifu mnaoifanyia hii nchi, watoto wenu watashiriki kwenye dhiki ya madhara ya uhuni wenu.
 
Kama ni ktk bunge hakusema hivyo unapotosha wananchi ambao hawakusikiliza wala kuangalia, alichosema ni kwamba chadema wameweka namba yao ya simu ktk mitandao na kuna wahuni wanamtumia msg za kumtukana, na akaahidi hajari wanaendelea na mchakato na katiba itapatikana.

Tatizo kubwa la sisi wabongo ni uvivu wa kusoma between the lines, yaani sentensi hata hazifiki kumi kuzisoma kwa utulivu na kuzielewa ni sheeedah je kitabu? No wonder wazungu wanatutania kwamba kwa mswahili ficha fedha kwenye vitabu utazikuta!! Namnukuu mleta mada...''Hayo ameyaongea wakati akiwa na kikao na kamati ya uongozi pamoja na ile iliyoandaa rasimu ya tatu ya katiba....'' wapi amekuambia ameyaongelea bungeni?
 
Tatizo kubwa la sisi wabongo ni uvivu wa kusoma between the lines, yaani sentensi hata hazifiki kumi kuzisoma kwa utulivu na kuzielewa ni sheeedah je kitabu? No wonder wazungu wanatutania kwamba kwa mswahili ficha fedha kwenye vitabu utazikuta!! Namnukuu mleta mada...''Hayo ameyaongea wakati akiwa na kikao na kamati ya uongozi pamoja na ile iliyoandaa rasimu ya tatu ya katiba....'' wapi amekuambia ameyaongelea bungeni?

huyo JAMAA NIMEMSOMA HALAFU NIKAMPUUZA , ASANTE KWA KUMPA ZA USO !
 
.
huyu chifu dikteta s.stta a.k.a Bokasa ndie adui namba moja wa ustawi wa demokrasia katika jamii ya kitanzania kwa sasa. ametudhulumu haki yetu ya kijikomboa na udhalimu wa watawala na hivyo adhabu yake stahiki n kushushwa shimoni angali hai. hana jema lolote katika kizazi cha sasa. aondoke zake tu.
Duh!
eee bhana eeee ! Noma sana .
 
Mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba

Una roho kama ya paka...
 
Kwa mara ya kwanza hapa Dodoma, Samwel Sitta kiongozi wa bunge maalum la katiba amekiri kwamba wana wakati mgumu.

Hayo ameyaongea wakati akiwa na kikao na kamati ya uongozi pamoja na ile iliyoandaa rasimu ya tatu ya katiba, nimethibitisha.

"Kwa kweli muda unavyozidi kwenda na kila jambo tunalofanya tunakumbana na upinzani mkali kinyume kabisa na matarajio yetu" alisema Sitta.

Sitta pia katika kikao hicho amesema kuwa anajiuliza sana ni kwa nini upepo unawabadilikia hivyo na anaonekana kukata tamaa kama rais Kikwete ataridhia rasimu ipigiwe kura mapema.

Sitta kwa mara ya kwanza tangu aanze mchakato huu wa katiba amesikika akisema kuwa ana wasiwasi huenda akageukwa siku za usoni na mahasimu wake kisiasa ndani ya CCM kwa lengo la kulipa kisasi ingawa hakugusia ni kisasi cha aina gani.

Ni ukweli usiopingika kuwa Samwel Sitta amejikuta akipoteza kabisa mvuto aliokuwa nao kisiasa baada ya kulingoza bunge la katiba na kujikuta akikosolewa na kutupiwa shutuma nzito waziwazi kama msaliti mkubwa wa wananchi kwa sasa.
..nliwahi kusema watu wenye hulka na kibri na fedhuli na nafiki kama sitta mwisho wao huwa mbaya sana.....pale wanaposhindwa kufikia matarajio ya fedhuli yao.....mara nyingi watu hawa hudhurika kimwili kwa "natural causes"....na sitta naona anaelekea huko....unamwona tu hata kwa fikra....watu hawa wanaolalamikiwa hadi makanisani mwisho wao si mzuri hata kidogo.....ni suala la mda tu.....mapesa na malimbikizo ya kibri yao huwa yanatumika kuwahudumia vitandani wanapokua dhofli bin taaban......
 
Bifu la fisadi Chenge na mnafiki Sitta limekwisha?

"Uspika"
 
Back
Top Bottom