chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,134
Nimekuelewa. Wewe ni mmoja wa wabunge wa BMK mlioko Dodoma na kuwa u mjumbe wa moja ya kamati ulizozitaja.....Kura utakayopiga kuhusu katiba hii pia utwambie....
Kama ni ktk bunge hakusema hivyo unapotosha wananchi ambao hawakusikiliza wala kuangalia, alichosema ni kwamba chadema wameweka namba yao ya simu ktk mitandao na kuna wahuni wanamtumia msg za kumtukana, na akaahidi hajari wanaendelea na mchakato na katiba itapatikana.
Kama ni ktk bunge hakusema hivyo unapotosha wananchi ambao hawakusikiliza wala kuangalia, alichosema ni kwamba chadema wameweka namba yao ya simu ktk mitandao na kuna wahuni wanamtumia msg za kumtukana, na akaahidi hajari wanaendelea na mchakato na katiba itapatikana.
Kama ni ktk bunge hakusema hivyo unapotosha wananchi ambao hawakusikiliza wala kuangalia, alichosema ni kwamba chadema wameweka namba yao ya simu ktk mitandao na kuna wahuni wanamtumia msg za kumtukana, na akaahidi hajari wanaendelea na mchakato na katiba itapatikana.
Sasa mkuu mimi nikudanganye ili iweje? kabla rasimu haijatoka nilileta hapa jamvini mambo ambayo rasimu imeyapendekeza ikiwamo waziri mkuu wa Tanzania kuwa makamu wa rais wa muungano kinyume na taratibu kwani anachaguliwa na watu wa jimbo moja, nikaleta lile la rais wa Zanzibar kuwa makamu wa kudumu wa Jamhuri ya muungano hali inayosambaratisha Zanzibar kama nchi yenye maslahi katika muungano achilia mbali kupoteza cheo chake cha mkuu wa nchi ya Zanzibar, pia nikatoa yale Kikwete na UKAWA waliyoongea kabla hayajawekwa hadharani, juzi nikaripoti namna Wazanzibar ambao wapo BMK wanavyotishwa..hujayaona hayo yakiripotiwa baadaye? pia ile thread ya Kikwete kuahirisha BMK hadi maridhiano wakati akiwa Marekani hukuona matokeo alipokuja? hili limetokea leo na Sitta anaonekana dhahiri kukata tamaa ingawa akija kwenu haonyeshi hivyo!
F##ck him! I hate that mazafanta
Kama ni ktk bunge hakusema hivyo unapotosha wananchi ambao hawakusikiliza wala kuangalia, alichosema ni kwamba chadema wameweka namba yao ya simu ktk mitandao na kuna wahuni wanamtumia msg za kumtukana, na akaahidi hajari wanaendelea na mchakato na katiba itapatikana.
Mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba
Kwa hiyo aliyeanzisha uzi huu si Mtanzania? 6 ameshaathirika tayari, na CCM pia. Kuweni mkitazama ukweli na mkiri. Acheni ushabiki. SAMUEL SITTA ameathirika sana kisiasa. Ni afadhali angekataa uenyekiti mapema.
Kwa mara ya kwanza hapa Dodoma, Samwel Sitta kiongozi wa bunge maalum la katiba amekiri kwamba wana wakati mgumu.
Hayo ameyaongea wakati akiwa na kikao na kamati ya uongozi pamoja na ile iliyoandaa rasimu ya tatu ya katiba, nimethibitisha.
"Kwa kweli muda unavyozidi kwenda na kila jambo tunalofanya tunakumbana na upinzani mkali kinyume kabisa na matarajio yetu" alisema Sitta.
Sitta pia katika kikao hicho amesema kuwa anajiuliza sana ni kwa nini upepo unawabadilikia hivyo na anaonekana kukata tamaa kama rais Kikwete ataridhia rasimu ipigiwe kura mapema.
Sitta kwa mara ya kwanza tangu aanze mchakato huu wa katiba amesikika akisema kuwa ana wasiwasi huenda akageukwa siku za usoni na mahasimu wake kisiasa ndani ya CCM kwa lengo la kulipa kisasi ingawa hakugusia ni kisasi cha aina gani.
Ni ukweli usiopingika kuwa Samwel Sitta amejikuta akipoteza kabisa mvuto aliokuwa nao kisiasa baada ya kulingoza bunge la katiba na kujikuta akikosolewa na kutupiwa shutuma nzito waziwazi kama msaliti mkubwa wa wananchi kwa sasa.
Mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba