gogo la shamba
JF-Expert Member
- Mar 1, 2013
- 6,669
- 2,165
dhambi kubwa aliyoifanya Sita ni kule kuonekana anashangilia kila mjumbe wa bunge la katiba aliyekuwa anatoa maoni ya kuponda mawazo ya wananchi yaliyotolewa ndani ya katiba waliyokuwa wanaiita eti katiba ya Warioba. hapo ndipo atatukumbuka sisi kina gogo la shamba tulikuwa tunamuambia nini