pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 19,030
- 15,232
Huyu mzee nilikuwa namfagilia hadi kumwona anatakiwa kuwa raisi wetu ajae kumbe ni zinga bogus!
Bunge la katiba livunjwe tu. halina maana yoyote
yaani mkewake magreth kamzidi akili mara mia
Mnaishi kwa ndoto.
Na ndoto zenu hazina athari kwa 6,ccm wala watanzania. Uzuri ni kwamba, mnatunga uongo kisha mnajidanganya then mnauamini uongo huohuo.
We keep on keeping on. Tunawatungia katiba
Tulisema toka mwanzo, ila kuna usemi unaosema "fumbo mfumbie mjinga, mwerevu alifumbue" hapa mwerevu ni UKAWA, na Kikwete pia kukubali kura zisipigwe ujue kakubaliana na werevu UKAWA, ila mjinga 6 akaendeleza unafki na kujipendekeza kwa ccm wenzake ambao nao wamesha anza kumtosa sasa anaanza kubwabwaja, kwa heri kibabu 6 nenda kafuge wanyama huwezi ongoza watu.Wajanja wamemrushia ndoano bila kutafakari kabugia!Ateme tuone sasa!
Bunge la katiba livunjwe tu. halina maana yoyote
Siku hizi kuna watu wana-hack akaunti za JF!
Laki si pesa kuna mtu anachezea ID yako huku!