Utingo
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 10,270
- 8,033
Hana ubavu huo, si walitaka kumnyan'ganya kadi akawalamba miguu.Na yeye alilitumia bunge kupata umaarufu, hizo ndio cost zake, wajanja wenzake wamemuwahi, asubiri huruma za JK kwenye uteuzi
na akajifanya kuzima mjadala wa richmond usiendelee