Ng'wanangwa
JF-Expert Member
- Aug 28, 2010
- 10,827
- 4,172
Nina habari kuwa jana aliitwa Ikulu Dodoma akakataa kwenda na vilevile leo hakushiriki katika kikao cha wabunge wa CCM kumchagua mgombea wa CCM. Kazi ipo.
6 Chuma Cha Pua
Nina habari kuwa jana aliitwa Ikulu Dodoma akakataa kwenda na vilevile leo hakushiriki katika kikao cha wabunge wa CCM kumchagua mgombea wa CCM. Kazi ipo.
Kama magazeti ya kibongo ukisoma kwa pupa umeliwa....
Kama kuna wakati wana jf wenzangu mliwahi kunichanganya ni leo!!!!!! Kwanza Mungi: 6 hawezi kutoka ccm hana ubavu huu hata achakachuliwe hadi Ubavu....., Pili ccm wanamuogopa ..... simnakumbuka alivyo wabeba wakati wa Rich-something...... Kweli Tz ni bongoland !!!:yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield::yield:
kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na el kuwa hatakuwa spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia chadema.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu marando awe spika wa bunge.
Huu sasa udaku taslimu!nasikia kuna tetesi kuwa 6 katoa sharti moja la kujiunga na chadema ni kuwa uchaguzi wa urambo ukirudiwa na yeye kushinda basi anataka awe kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni na 2015 aje kuwa spika!!!
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.
Nina habari kuwa jana aliitwa Ikulu Dodoma akakataa kwenda na vilevile leo hakushiriki katika kikao cha wabunge wa CCM kumchagua mgombea wa CCM. Kazi ipo.
Hawezi kuhama kwa sababu ya kuukosa uspika,vinginevyo atajishusha hadhi,kwamba ni mroho wa madaraka.
jiongelee mwenyewe... But with the way we have been brought up (all Tanzanians with our
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.