Elections 2010 Sitta kujitoa CCM na kujiunga CHADEMA?

Kama itakuwa hivyo basi nasema mzee six karibu sana CHADEMA peoples power uungana na Rais wetu Dr Slaaa wa ukweli na wengine tueneneze chama nchi nzima ili 2015 tuchukue nchi kama tunasukuma mlevi,huo ni mpango wa mafisadi baba,na huyu mama ni potezea tu hana lolote kwani kila mtu mwenye uelewa anafahamu huyu mama alivyokuwa anakatiza hoj safi za kutetea wananchi ss kama atashinda kwisha kazi CCM na nataka shinde ili Watanzania waelewe what is going on ndani ya Chama cha mafisadi.:rip:CCM
 
Ukweli utajulikana tu. Ningekuwa yeye ningerejea kauli ya Mwasisi wa Taifa letu kuwa sisiem siyo mama yake hata afungwe kwa yanayoshusha hadhi kama haya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.

lisemwalo lipo na kama halipo uje laja lakini hili... :nono:
 
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.

Sitta hana lolote. Atabakia hapo hapo CCM akiendelea 'kunyanyapaliwa' na mafisadi mpaka atie akili. Sitta si msafi wa ki hivyo wala si mtu wa ku-sacrifice kama Comrade Dr. Slaa. Sitta ni mtu wa kung'ang'ania utukufu na maslahi mpaka mwisho hata kama vyote hivyo vinakuja na gharama nzito ya ku dhalilishwa.

Kama Sitta angalikuwa muondokaji kutoka CCM basi angali ondoka kishujaa katika kipindi cha lala salama cha Bunge ambapo angali ruhusu mijadala yote ya Kiwira, Richmond, EPA, Meremeta ijadiliwe ikiwemo kura ya wabunge kutokuwa na imani na Serikali. Anguko la serikali peke yake lingemfanya Sitta leo awe "tunu" kwenye mioyo ya Wa-Tanzania. Na baada hapo hata CCM wangalimtimulia mbali basi ingekuwa haisadii tena. Lakini alitaka ku furahisha umma na alitaka kufurahisha genge la Utawala. Mshika mawili basi moja litamponyoka.

Binafsi, sishangai kwa yalimpata Sitta kwani niliyaona kwa mbali yakiwa yana jongea, haswa katika kikao cha mwisho cha bunge lililopita Sitta alivyo act. Hata nili-bet na rafiki zangu wakati Sitta wa kikao cha mwisho baada kuona Sitta amezuia mijadala yote na kui hitimisha kibabe. Niliwaambia Sitta amekuwa kipofu wa akili na mtu asiye na maono. Niliwaambia kwa hilo ni kuwa Sitta ameji hukumu mwenyewe na hawezi tena kuwa Spika, kwa sababu ameshindwa kufanya maamuzi magumu na kuweza kuondoka kwenye kiti cha uspika akiwa shujaa na jemadari wa umma. Niliona alishaingia kwenye mtego wa "anguko" lake mwenyewe.
Kwani ameonyesha ukarimu kwa JK na mafisadi wenzie kipindi kile. Lakini alishindwa kufahamu kuwa ile yote ilikuwa geresha tu. Na hata yeye mwenyewe kudiriki hata kujijengea matumaini kwamba hali ni shwari kwani amewa-save na wao watam -save 2nd term kwa U-spika. Akawa betray hata kundi la wale wabunge walioji pambanua na wapinanaji dhidi ya Ufisadi yaani akina Mwakyembe waki mshangaa mbona Sitta ame change ghafla.

Nimekuwa najiuliza na kuwauliza watu wengi wanaofahamu Sitta kwa karibu kuwa ni kwa vipi alishindwa kupata maono haya? Nikuwa hana washauri au ndio pengine ni mtu asiye shaurika?. Na mwisho nilikuwa nikimshangaa sana kwa ku 'bank' matumaini yake kila mara kwa JK kuwa atambeba? Yaani huyu Mzee wa Kinyamwezi hata namshangaa walahi?, Mimi binafsi namsikitikia kwa upande mmoja japo sina shaka kwamba amejifikisha mwenyewe katika huu 'udhalilishaji" kwa kutaka yote.
 
Sitta hana lolote. Atabakia hapo hapo CCM akiendelea 'kunyanyapaliwa' na mafisadi mpaka atie akili. Sitta si msafi wa ki hivyo wala si mtu wa ku-sacrifice kama Comrade Dr. Slaa. Sitta ni mtu wa kung'ang'ania utukufu na maslahi mpaka mwisho hata kama vyote hivyo vinakuja na gharama nzito ya ku dhalilishwa.

Kama Sitta angalikuwa muondokaji kutoka CCM basi angali ondoka kishujaa katika kipindi cha lala salama cha Bunge ambapo angali ruhusu mijadala yote ya Kiwira, Richmond, EPA, Meremeta ijadiliwe ikiwemo kura ya wabunge kutokuwa na imani na Serikali. Anguko la serikali peke yake lingemfanya Sitta leo awe "tunu" kwenye mioyo ya Wa-Tanzania. Na baada hapo hata CCM wangalimtimulia mbali basi ingekuwa haisadii tena. Lakini alitaka ku furahisha umma na alitaka kufurahisha genge la Utawala. Mshika mawili basi moja litamponyoka.

Binafsi, sishangai kwa yalimpata Sitta kwani niliyaona kwa mbali yakiwa yana jongea (haswa katika kikao cha mwisho cha bunge lililopita Sitta alivyo act) kuwa linanajongea. Hata nili-bet na rafiki zangu wakati Sitta wa kikao cha mwisho baada kuona Sitta amezuia mijadala yote na kui hitimisha kibabe. Niliwaambia Sitta amekuwa kipofu wa akili na mtu asiye na maono. Niliwaambia kwa hilo ni kuwa Sitta amejihukumu mwenyewe na hawezi tena kuwa Spika, kwa sababu ameshindwa kufanya maamuzi magumu na kuweza kuondoka kwenye kiti cha uspika akiwa Shujaa wa umma. Niliona alishaingia kwenye mtego wa "anguko" lake mwenyewe.
Kwani ameonyesha ukarimu kwa JK na mafisadi kipindi kile lakini ile yote ilikuwa geresha tu na yeye mwenyewe hata kujijengea matumaini kwamba hali ni shwari kwani amewa-save na wao watam -save 2nd term kwa U-spika. Akawa betray hata kundi la wale "wapinanaji wa Ufisadi" akina Mwakyembe wakamshangaa mbona Sitta ame change ghafla.

Nimekuwa najiuliza na kuwauliza watu wengi wanaofahamu Sitta kwa karibu kuwa ni kwa vipi alishindwa kupata maono haya? Nikuwa hana washauri au ndio pengine ni mtu asiye shaurika?. Na mwisho nilikuwa nikimshangaa sana kwa ku 'bank' matumaini yake kila mara kwa JK kuwa atambeba? Yaani huyu Mzee wa Kinyamwezi hata namshangaa walahi?, Mimi binafsi namsikitikia kwa upande mmoja japo sina shaka kwamba amejifikisha mwenyewe katika huu 'udhalilishaji" kwa kutaka yote.
Nasikitika kwa sababu 6 ametusaidia sana Tz kujua mambo mengi sana.
Ni kweli siyo Msafi hihivyo kama tulivyo wa TZ wengi, Hakuna aliye safi. Lakini katika kundi la watu wachafu ndani ya CCM yeye ni at least, na alionesha uthubutu wa kuwa tofauti.

Tunawaona mawaziri Takukuru, Usalama na polisi wakitetea na kufanya mabaya waziwazi, Je sita alifanya nini- yeye si mtu wa mwisho, na ukumbuke kuwa alisimamishwa na kutaka kuvuliwa uanachama pamoja na mpendazoe, na wengine. Tatizo halikuwa kwake kabisa huyu mzee.
Nasema at least katika mihimili ya kipindi hiki alikuwa kiongozi peke yake aliyethubutu kutuonesha njia watanzania. Semeni nani mwingine, Makamba?, JK? Dr Hosea? Mwanasheria mkuu? Mkuu wa Polisi? Hakuna mtu aliyewafunua watz.

Lakini kwa sasa tuseme ukweli bila unafiki, Je Makinda ni Bora kuliko sitta, atafanya nini mama huyu aliyevaa mavazi ya kifisadi?,
Huyu jamani kaletwa ateketeze upinzani bungeni
Kasema " ATATOA ELIMU ILI ADHABU ZIKITOLEWA WATU WASILALAMIKE" Je hiyo ndo kazi ya kwanza ya spika??????
Jaribuni kusema ukweli jamani. Sitta ilikuwa bora kama CCM wasingemwingilia.
 
kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na el kuwa hatakuwa spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia chadema.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu marando awe spika wa bunge.

fabricated story
 
Sitta ndo chaguo la watanzania kwa sasa kama spika hata CCM wao wanajua, kumchakachua ni kulichoma Taifa directly. Naunga mkono yeye kuondoka CCM kwani Chadema imeonyesha njia kwa Shibuda na wengine. Natoa suluhisho AHAME MARA MOJA kwa maslahi ya taifa . Kuna habari kuwa ametoweka viwanja vya Bunge nadhani anafuata ushauri wa nini cha kufanya. Sita hawezi kufa njaa ni mwanasheria kama Tundu Lissu aache woga sina kama kina Lyatonga ana taaluma yake. Kuendelea kukaa CCM ni AIBU kwake. Najua 'Daktari' atamhonga uwaziri akikubali atakua amelisaliti TAIFA.

SITA HAMA UOKOE TAIFA.
 
Pigo la kwanza,kama alishindwa kusoma alama za nyakati kama wenzake moto na umuwakie kisawasawa ni nani aliyejitoa akaadhirika hii inadhihirisha ule usemi wa kuwa ni mnafiki ni kweli,hata akijitoa nashauri CHAMANI asipokelewe :nono:, huko ni kutafuta cheep popularity ,nasema tena ataishia pabayaaaaaaaaaaa!!!!!!.
 
Sam yeye afanye ku-lay off for a moment na baadaye ahamie Chadema mbona inasemekana JK alikuwa atuwe Chadema 2005 kama CCM wasingempa nafasi ya kugombea Urais. Kuhama si uroho wa madaraka bali ni kutafuta nafasi ya kuchangia kujenga taifa - mimi ninaiona kama uzalendo wa hali ya juu kuhama chama cha siasa. Hivi tungekuwa na mgombea binafsi (independent candidacy) ingekuwa ni uroho wa madaraka?
 
Kuna tetesi kutoka kwa washkaji kutoka kanda ya kati kuwa kitendo cha 6 kuchakachuliwa uspika kimemuuma sana, habari zinasema kuwa anadai kuwa alichokuwa ameambiwa na EL kuwa hatakuwa Spika wa bunge la 10 limetimia.
Source hizo zinadai kuwa kwa sasa 6 yupo tayari kujiondoa chamani, na hatimaye uchaguzi wa jimbo la urambo kufanywa upya, ambapo yeye atagombea kupitia CHADEMA.
Kinachoendelea kule mjengoni ni kwamba 6 anampigia upatu Marando awe Spika wa bunge.

Wote tungependa iwe hivyo lakini si rahisi kama wewe unavyofikiria. ni kweli wamemfanyika kitendo cha aibu sana, ni sawa na kile walichomfanyika Mzee malecela kipindi kile.

Kuna baadhi ya nyeti toka ndani ya CCM zinasema Sita alifuatwa na kuambiwa asichuke form za uspika sababu hatapitishwa na kamati Kuu ya Chama chake yeye Akabisha sasa ndiyo haya maswahibu yamemkuta mzee mzima.
 
Watanzania jueni kuwa ayo ni mabadili ya kawaida Sitta anajua ndo maana yuko kimya. Sitta ni Waziri mkuu mtarajiwa ndo mana kaachia iyo nafasi. Zingatia kuwa Pinda hatarudi kwenye kiti cha uwaziri mkuu. Naomba mnikuu alafu baada ya siku chache maneno yatajidhihirisha.
 
Back
Top Bottom