Mufiyakicheko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 892
- 86
- Thread starter
- #61
Ewe Bwana mwema ! umewaumba wanadamu wote kutokana na wazazi wamoja. umekusudia kuwa wote wawe jamii ya nyumba moja. mbele ya utakatifu wako wote ni watumishi wako, naikabizi jf mikononi mwako na wanadamu wote uwalinde chini ya hema lako,wote uwakusanye pamoja kwenye meza yako ya ukarim, wote wang'ae kwa mwanga wa neema yako
Ee Baba mwema furahisha roho zetu kwa manukato ya upendo wako. Angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako. Furahisha masikio yetu kwa sauti tamu ya Neno lako, na utulinde sote katika NGOME ya neema yako.
wewe u mwenye uwezo na mwenye nguvu, wewe u msamehevu na wewe u yule asiyeangalia makosa ya wanadamu sisi ni wenye zambi hatusitahili hata kusimama mbele za uso wako
Ee Baba mwema furahisha roho zetu kwa manukato ya upendo wako. Angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako. Furahisha masikio yetu kwa sauti tamu ya Neno lako, na utulinde sote katika NGOME ya neema yako.
wewe u mwenye uwezo na mwenye nguvu, wewe u msamehevu na wewe u yule asiyeangalia makosa ya wanadamu sisi ni wenye zambi hatusitahili hata kusimama mbele za uso wako