Mwanaweja huo ni utambulisho wa mtz kwa kukulupuka hatujambo anza mwanzo utaona walio jiita watalamu wamekosolewa jenga hoja utasomeka kama hauna potezeakunauwezekano anatoka mwakaleli msimshangae maana watu wa mbeya ndio walivyo
Athari za matamshi ya watu wa dini yakeUngeandika Mungu na sio Mngu! uwe unaanza na herufi Kubwa... Heshima Muhimu
Dini ni ya watu au ya MUNGU ?Athari za matamshi ya watu wa dini yake
habari yako mkuu vipi mbona sasa wewe ndo haueleweki...Mkuu mbona hueleweki? Hiki ulichoandika ni kiswahili au? Unasoma darasa la ngapi?
sijabahatika kwenda shule ila uliye enda shule inaonekana akili yako haina akili nenda jukwa la ruhga
nakweli asipo kaa sawa atachafuka maana anakoelekea sio kuzuri atachafua cvHuyu bwana sitta naona anazeeka vibaya.
Kama ana jamaa zake hapa JF wamshauri akapumzike na heshima yake kabla hajageuka kioja.