FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,506
- 123,776
mwanakijiji ni kama mtoto wa mkulima!, nawashauri wabadilishe hayo majina yasiyoendana na ukweli!
@foxy fanya mawasiliano na msajili wa vyama atakupa majibu sahihi zaidi!, umuulize pia kuhusu CCK!
Jee mpiga debe na au mwanzilishi si yupo karibu? ya nini niende mbali kote huko? huoni kuwa ushauri wako hauna mantiki?