Sitta atoboa siri ya CCJ

Sitta atoboa siri ya CCJ

Mufiyakicheko = Mfia Kicheko.

Asante Ndg. Mufiyakicheko kwa taarifa.
Wengine ujumbe tumeupata kwa kile ulichojaribu kutuhabarisha.

Kama sijakosea, Mufiyakicheko hii si mara ya kwanza kupost thread hapa jf na karibu mara zote utata umejitokeza ktk maandishi yako hususani kile unachokiandika, ujumbe tunaupata isipokua lugha unayotumia nahisi si kiswahili kilichozoeleka na wengi ndio maana wachangiaji wengine huambulia ''patupu'' kwenye post zako.

Naomba usikwazike kwa hili swali; ''hivi wewe ni Mtanzania?, kama ndiyo...elimu ya msingi umepatia hapahapa Tanzania? Maana huko ndio kuna misingi ya kusoma na kuandika kiswahili tokea darasa la kwanza hadi la pili...kama hayo maswali yote jibu ni ndiyo..basi naomba nifahamu kabila yako inawezekana ''lugha asili'' inachangia kushindwa kuandika kwa ufasaha kile ulichokusudia.

Asante kwa taarifa Mufiyakicheko!
 
Huyu sita ni mnafiki na haeleweki kwa namna yoyote ile na zaidi anaboa sana kwani anajua ukweli juu ya CCJ then anataka ku kutuletea habari za visingizio
 
kama ni wanaume wa shoka waende igunga tuone sasa wanakenda
mbeya kwa makiembe kufanyia nini kuna majimbo yana shida kama
arusha ,tarime ,huko mbeya kuna nini kama siyo umbeya wa ccj
yao wanaipeleka badala kuongea mambo ya chama ccm ni ccj

kikupacho raha na uchungu kitakupa
 
hahaha,dah yaani mufiyakicheko kwanzia jina hadi unacho andikia sikielewi
ni full komedi
 
kama ni wanaume wa shoka waende igunga tuone sasa wanakendambeya kwa makiembe kufanyia nini kuna majimbo yana shida kama arusha ,tarime ,huko mbeya kuna nini kama siyo umbeya wa ccjyao wanaipeleka badala kuongea mambo ya chama ccm ni ccjkikupacho raha na uchungu kitakupa
Kweli wewe ni Ngamia Mzee....
 
Sita anaelekea kupoteza umaarufu na hii ni kutokana na kupewa ujumbe wa nec so anajitahidi kulitetea chama la magamba wakati ukweli anaufahamu.magamba hawabebeki tena.
 
This is very interesting. Inaelekea wale 12 disciples wajere-group tayari kwa 2015. Hata hivyo inawezekena wamepoteza wajumbe njiani kama wakina Beatrice Shellukindo na Stella Manyanya. Anyway, kilichowapa umaarufu hawa wakati kiongozi wao akiwa Spika (Sitta) ni kusimamia hoja zenye maslahi ya nchi ila kwa sasa wao kuanza kuwashambulia CHADEMA nadhani ni sawa na KULA MBEGU - usitegemee mavuno!

Just curious,mgombea wao ni nani hasa? Mwandosya au Sitta Mwenyewe?
 
hahaha,dah yaani mufiyakicheko kwanzia jina hadi unacho andikia sikielewi ni full komedi
Hahahah...huyo ndio mufiyakicheko=Mfia Kicheko, na anachoandika ni KISAHIRI na sio KISWAHILI.
 
Hivi haya maneno ameereza,sili,atobowa maana yake nini.Ndugu zangu haya mambo mengine yanakera sana.Mtu uko JF siri unaiita sili.Noma sana.Sili ni neno lenye maana tofauti kabisa.Jitahidini basi msiabishe JF.Watanzania kweli tu viazi kiasi hicho,hapana, siamini.
ENYI MNAOONEKANA KUWA WASAFI NA KUMBE NDANI WACHAFU mko kama maji safi lakini machungu,ambayo kwa kutazamwa kwa nje yanaonekana safi kabisa lakini yakipimwa hakuna hata tone linalokubaliwa. Naam mwonzi wa jua huangukia sawasawa juu ya vumbi au juu ya kioo lakini hutofautiana katika kurudisha nuru kama nyota inavyotofautiana na dunia
 
Mufiyakicheko = Mfia Kicheko.Asante Ndg. Mufiyakicheko kwa taarifa.Wengine ujumbe tumeupata kwa kile ulichojaribu kutuhabarisha.Kama sijakosea, Mufiyakicheko hii si mara ya kwanza kupost thread hapa jf na karibu mara zote utata umejitokeza ktk maandishi yako hususani kile unachokiandika, ujumbe tunaupata isipokua lugha unayotumia nahisi si kiswahili kilichozoeleka na wengi ndio maana wachangiaji wengine huambulia ''patupu'' kwenye post zako.Naomba usikwazike kwa hili swali; ''hivi wewe ni Mtanzania?, kama ndiyo...elimu ya msingi umepatia hapahapa Tanzania? Maana huko ndio kuna misingi ya kusoma na kuandika kiswahili tokea darasa la kwanza hadi la pili...kama hayo maswali yote jibu ni ndiyo..basi naomba nifahamu kabila yako inawezekana ''lugha asili'' inachangia kushindwa kuandika kwa ufasaha kile ulichokusudia.Asante kwa taarifa Mufiyakicheko!
Sijaenda shule kabisaa mkuu siwezi chukia ila nawachukia mafisadi
 
nimecheka sana mufiyakicheko, u made my weekend, thanx
 
heheheeeeeeee samahani mtoa mada nimekufatilia kwa umakini sn ila nlichogundua kiswahili kinakusumbua sana, sjui km unaishi tz au la, ila usjali sie waswahili tumekuelewa
 
ENYI MNAOONEKANA KUWA WASAFI NA KUMBE NDANI WACHAFU mko kama maji safi lakini machungu,ambayo kwa kutazamwa kwa nje yanaonekana safi kabisa lakini yakipimwa hakuna hata tone linalokubaliwa. Naam mwonzi wa jua huangukia sawasawa juu ya vumbi au juu ya kioo lakini hutofautiana katika kurudisha nuru kama nyota inavyotofautiana na dunia
ha ha ha.kumbe uko fit? Lol
 
jf napenda niwakumbushe kunaandiko

EWE MWANA WA KUWA !

usiitakie roho yeyote kile ambacho wewe usingejitakia na usitamke lile usilolitenda maneno yako yaendane na vitendo vyako fahamu kwa ukweli yule awambiaye watu wawe wa haki nayeye mwenyewe akatenda udhalimu huyo siye wa mngu ata akiitwa kwa jina la mngu
 
Kutafuta umaarufu ni kazi kweli jamaa anahangaika kusafisha njia kwa ajili ya 2015 kazi kweli.
 
Sitta ni fisadi wa kutisha, nyumba anayoishi analipiwa 12m kwa mwezi
 
Jamaa anakiswahili kilichovunjikavunjika!!! Ila haina shida, ameeleweka.
 
Halafu mkiambiwa utafiti unaonyesha watoto wa kenya wanafaulu kiswahili kuliko wabongo mnakuja juu. Ila leo kwa kweli kidogo nife kwa kicheko
 
Back
Top Bottom