FiQ
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 477
- 76
Ungeandika Mungu na sio Mngu! uwe unaanza na herufi Kubwa... Heshima Muhimu
teh teh teh teh uuuuwiii nikijisikia kucheka mimi nakuja Jf tu, stress zote zinakwisha.
Ungeandika Mungu na sio Mngu! uwe unaanza na herufi Kubwa... Heshima Muhimu
Jamani mimi napita tu!!!!sijabahatika kwenda shule ila uliye enda shule inaonekana akili yako haina akili nenda jukwa la ruhga
Tafadhali njoo na evidence. usiropoke kuhusu vyama imara vinavyoongozwa kwa mawazo imara na watu imara.hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama vyao leo wananipaka matope'' alisema Sitta. Amejifananisha na chuma cha pua, na akasema hakuna mwanachama ndani ya CCM aliye pata misukosuko kama yeye.
hao waliomfuata walikuwa chadema walimwahidi kumpatia 1bln tshs.
Hiyo green......Lakini pia cyo jukwaa la Kuhariri!!!!Ingawa kuna watu kadhaa humu wamejitahidi kuifanyia masahihisho thread hii, lakini bado nami naona kuna makosa, basi nami nadhani ingesomeka hivi.
Sitta ameeleza ni jinsi gani wenye pesa ndani ya CCM walivyo kuwa wamepania kumng'oa ikashindikana. (Ingawa wenye pesa hao anaowasema walifanikiwa kumng'oa katika u-speaker) haya maandishi ya blue nimeyaongeza mie. Kwa maelezo yake anasema, vyama vingine vilimshawishi kugombea Urais kwa tiketi ya vyama hivyo lakini bado alibaki imara. Anashangaa kwa nini anasakamwa! ''Mimi sihusiki na CCJ, hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama vyao leo wananipaka matope'' alisema Sitta. Amejifananisha na chuma cha pua, na akasema hakuna mwanachama ndani ya CCM aliye pata misukosuko kama yeye. Yote haya kayaeleza huko Mbeya. Chanzo: Live G FM Mbeya.
Thread hii ujumbe wake ulikuwa unaeleweka licha ya kasoro zake. Ukisoma thread nyingi humu utakuta makosa ya kiuandishi kibao, hii ni kutokana na ukweli kwamba wengine si wasomi wa lugha nk. Naomba tusiuwe mawazo ya wenzetu kwa sababu la lugha, hata hivyo hili si jukwaa la lugha.
Ewe Bwana mwema ! umewaumba wanadamu wote kutokana na wazazi wamoja. umekusudia kuwa wote wawe jamii ya nyumba moja. mbele ya utakatifu wako wote ni watumishi wako, naikabizi jf mikononi mwako na wanadamu wote uwalinde chini ya hema lako,wote uwakusanye pamoja kwenye meza yako ya ukarim, wote wang'ae kwa mwanga wa neema yako
Ee Baba mwema furahisha roho zetu kwa manukato ya upendo wako. Angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako. Furahisha masikio yetu kwa sauti tamu ya Neno lako, na utulinde sote katika NGOME ya neema yako.
wewe u mwenye uwezo na mwenye nguvu, wewe u msamehevu na wewe u yule asiyeangalia makosa ya wanadamu sisi ni wenye zambi hatusitahili hata kusimama mbele za uso wako
nenda jukwa la ruhga
kumgeukia mngu kwani ya kupasa kujitukuza katika jina la mngu wekeza kwa mngu
sita
ameereza nijinsi gani wenye pesa ndani ya ccm walivo kuwa wamepania kumtowa ikashindikana kwamaelezo yake anasema vyama vingine vilimshawishi kugombea uraisi bado alibaki imala anashanga kusakamwa mimi sihusiki na ccj hao walionifata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama yvao leo wananipaka matopo kajifananisha na chuma chapuwa
naikabizi jf mikononi mwako..... sisi ni wenye zambi hatusitahili....
Huyu jamaa ni jinias. Examine closely you will pick a talent in him/her..... siyangu ni yamungu kama mungu hanaadabu misijuwi yabadilishe kwa kialabu utajuwa naamanisha nini
Hivi haya maneno ameereza,sili,atobowa maana yake nini.Ndugu zangu haya mambo mengine yanakera sana.Mtu uko JF siri unaiita sili.Noma sana.Sili ni neno lenye maana tofauti kabisa.Jitahidini basi msiabishe JF.Watanzania kweli tu viazi kiasi hicho,hapana, siamini.
Nikijuwa universal language mkuu unaamanisha nini? umenipoteza kabisaHuyu jamaa ni jinias. Examine closely you will pick a talent in him/her
Tafadhali njoo na evidence. usiropoke kuhusu vyama imara vinavyoongozwa kwa mawazo imara na watu imara.[/ viongozi wa juu wa chadema wanalijua hilo ipo siku utajua ukweli huwa sikurupuki mkuu ku post nisichokijua
Acha uzuzu wako wewe "dazu" hicho ni kisukuma au wewe ndiye k#$a [neno baya] Acha utani wa jumla jumla; heshimu makabila ya watu.Mshkaji umeandika kisukuma, maana hivyo vishindo!!!!! sijakupata.
Sema mkuu nikisema mimi napewa jinaAcha uzuzu wako wewe "dazu" hicho ni kisukuma au wewe ndiye k#$a [neno baya] Acha utani wa jumla jumla; heshimu makabila ya watu.
tz tumejengeka kupenda hojaa nyepesi mf cdm waliibuwa ufisadi maandamano yalianza nnchi nzima kwakweli tukapazaa sauti. mabomu kulipuka tukasahau ufisadi tumeendaaa babu akaibuka na kikombe hii imemaliza yote tusipo badilika kuidondosha ccm ni ndoto hatuna musimamo ni wa kusahau haraka ukitaka kujuwa anzisha sd ya muzaha uone wa changiaji ni tofauti na yenye hoja nzitoThread imebadilika, yaani badala ya kumjadili 6 watu wanamjadili mufiyakicheko na lugha yake.Mnaonaje sasa turudi kwenye thread na kujadili siri za CCJ!?
It never was intended to you.Nikijuwa universal language mkuu unaamanisha nini? umenipoteza kabisa
Nilihisi ni mimi mkuuIt never was intended to you.
Thread imebadilika, yaani badala ya kumjadili 6 watu wanamjadili mufiyakicheko na lugha yake.
Mnaonaje sasa turudi kwenye thread na kujadili siri za CCJ!?
Mbona wengine tumemuelewa. We ndo una matatizoMkuu mbona hueleweki? Hiki ulichoandika ni kiswahili au? Unasoma darasa la ngapi?