Sitta atoboa siri ya CCJ

hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama vyao leo wananipaka matope'' alisema Sitta. Amejifananisha na chuma cha pua, na akasema hakuna mwanachama ndani ya CCM aliye pata misukosuko kama yeye.

hao waliomfuata walikuwa chadema walimwahidi kumpatia 1bln tshs.

Tafadhali njoo na evidence. usiropoke kuhusu vyama imara vinavyoongozwa kwa mawazo imara na watu imara.
 
Ingawa kuna watu kadhaa humu wamejitahidi kuifanyia masahihisho thread hii, lakini bado nami naona kuna makosa, basi nami nadhani ingesomeka hivi.

Sitta ameeleza ni jinsi gani wenye pesa ndani ya CCM walivyo kuwa wamepania kumng'oa ikashindikana.
(Ingawa wenye pesa hao anaowasema walifanikiwa kumng'oa katika u-speaker) haya maandishi ya blue nimeyaongeza mie. Kwa maelezo yake anasema, vyama vingine vilimshawishi kugombea Urais kwa tiketi ya vyama hivyo lakini bado alibaki imara. Anashangaa kwa nini anasakamwa! ''Mimi sihusiki na CCJ, hao walionifuata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama vyao leo wananipaka matope'' alisema Sitta. Amejifananisha na chuma cha pua, na akasema hakuna mwanachama ndani ya CCM aliye pata misukosuko kama yeye. Yote haya kayaeleza huko Mbeya. Chanzo: Live G FM Mbeya.

Thread hii ujumbe wake ulikuwa unaeleweka licha ya kasoro zake. Ukisoma thread nyingi humu utakuta makosa ya kiuandishi kibao, hii ni kutokana na ukweli kwamba wengine si wasomi wa lugha nk. Naomba tusiuwe mawazo ya wenzetu kwa sababu la lugha, hata hivyo hili si jukwaa la lugha.
Hiyo green......Lakini pia cyo jukwaa la Kuhariri!!!!
 
Ewe Bwana mwema ! umewaumba wanadamu wote kutokana na wazazi wamoja. umekusudia kuwa wote wawe jamii ya nyumba moja. mbele ya utakatifu wako wote ni watumishi wako, naikabizi jf mikononi mwako na wanadamu wote uwalinde chini ya hema lako,wote uwakusanye pamoja kwenye meza yako ya ukarim, wote wang'ae kwa mwanga wa neema yako

Ee Baba mwema furahisha roho zetu kwa manukato ya upendo wako. Angaza macho yetu kwa mwangaza wa uongozi wako. Furahisha masikio yetu kwa sauti tamu ya Neno lako, na utulinde sote katika NGOME ya neema yako.

wewe u mwenye uwezo na mwenye nguvu, wewe u msamehevu na wewe u yule asiyeangalia makosa ya wanadamu sisi ni wenye zambi hatusitahili hata kusimama mbele za uso wako

kumbe mkuu unakijua kiswahili safi tu! Hongera Mfiyakicheko!
 
nenda jukwa la ruhga

kumgeukia mngu kwani ya kupasa kujitukuza katika jina la mngu wekeza kwa mngu

sita

ameereza nijinsi gani wenye pesa ndani ya ccm walivo kuwa wamepania kumtowa ikashindikana kwamaelezo yake anasema vyama vingine vilimshawishi kugombea uraisi bado alibaki imala anashanga kusakamwa mimi sihusiki na ccj hao walionifata nyumbani kunitaka nijiunge na vyama yvao leo wananipaka matopo kajifananisha na chuma chapuwa

naikabizi jf mikononi mwako..... sisi ni wenye zambi hatusitahili....

..... siyangu ni yamungu kama mungu hanaadabu misijuwi yabadilishe kwa kialabu utajuwa naamanisha nini
Huyu jamaa ni jinias. Examine closely you will pick a talent in him/her
 
Msipende kuwakosoa wenzenu, mnawachanganya waacheni watujuze yaliyotokea
Hivi haya maneno ameereza,sili,atobowa maana yake nini.Ndugu zangu haya mambo mengine yanakera sana.Mtu uko JF siri unaiita sili.Noma sana.Sili ni neno lenye maana tofauti kabisa.Jitahidini basi msiabishe JF.Watanzania kweli tu viazi kiasi hicho,hapana, siamini.
 
Tafadhali njoo na evidence. usiropoke kuhusu vyama imara vinavyoongozwa kwa mawazo imara na watu imara.[/ viongozi wa juu wa chadema wanalijua hilo ipo siku utajua ukweli huwa sikurupuki mkuu ku post nisichokijua
 
Thread imebadilika, yaani badala ya kumjadili 6 watu wanamjadili mufiyakicheko na lugha yake.
Mnaonaje sasa turudi kwenye thread na kujadili siri za CCJ!?
 
Thread imebadilika, yaani badala ya kumjadili 6 watu wanamjadili mufiyakicheko na lugha yake.Mnaonaje sasa turudi kwenye thread na kujadili siri za CCJ!?
tz tumejengeka kupenda hojaa nyepesi mf cdm waliibuwa ufisadi maandamano yalianza nnchi nzima kwakweli tukapazaa sauti. mabomu kulipuka tukasahau ufisadi tumeendaaa babu akaibuka na kikombe hii imemaliza yote tusipo badilika kuidondosha ccm ni ndoto hatuna musimamo ni wa kusahau haraka ukitaka kujuwa anzisha sd ya muzaha uone wa changiaji ni tofauti na yenye hoja nzito
 
Jembe na Nyundo eti maana yake Wakulima na Wafanyakazi, Rostam ni mfanyakazi ama mkulima?
 
Niko zangu maeneo fulani na mtoto mwenyewe weekend hii nakula mavituzii, eti chumba kina kiyoyozi halafu umeme ukakatika si eti ilikula kwangu! namwambia mwenye hoteli anirudishie japo nusu ya gharama kakataa kasema yeye sio tanesco. Kumbe panatakiwa pawe na idara nyingine idara ya Mgao wa Umeme na Meneja apewe Shyangingi lake na nyumba nzuuri kabisa
 
Thread imebadilika, yaani badala ya kumjadili 6 watu wanamjadili mufiyakicheko na lugha yake.
Mnaonaje sasa turudi kwenye thread na kujadili siri za CCJ!?


ah mi nilidhani niko CCM kumbe CCM ndo kile wanasema kina magamba? basi siko CCM mimi
 
Back
Top Bottom