Quinty
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 462
- 74
Kweli kabisa Ibangenadhani sitta ni mzalendo ila yupo in a wrong party. ccm hawawapendi watu wakweli. anafaa aje chadema tupambane na ccm
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa Ibangenadhani sitta ni mzalendo ila yupo in a wrong party. ccm hawawapendi watu wakweli. anafaa aje chadema tupambane na ccm
sitta mali yote aliyo nayo kaitoa wapi.
nyumba ya spika milioni 10 kwa mwezi huyo anajua umaskini wa watanzania. tunadanganyana bure.
Wana JF fuatilieni taarifa ya habari.
---------
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali
wasi wasi wangu wanaofaidi ni wengi sio 10 tu....wapo wengi na yeye pia anafaidi.....labda kuna kuzidiana labda yeye hayumo katika 10 borang'wanangwa tafuta jukwaa halisi...
Sita abaki ccm mpaka wakati muafaka, unajuaje ataleta mabadiliko akiwa ndani ya ccm? Hatakama ana mpango wa kuhama abaki huko ili asome ramani zote akija kuobuka kuwashambulia anakua na uhakika wa data na hali halisi
hivi mwenyekiti wao yupo ziara anabembea? mbona wanakwarurana hawa?
..........JK achana na mafisadi unusuru chama ingawaje hao mafisadi ni marafiki zako wa karibu, fanya maamuzi magumu kwa uhai wa chama!!!!
Tiba
`Wana JF fuatilieni taarifa ya habari.
---------
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao!Wananchi tusikubali
Anapambana nao vipi? Anapambana na mafisadi kwa kutoa mafumbo? Get serious man. Wataje au sema unachokijua maana tunajua wewe ni mojawapo ya viongozi ambao wana CLASSIFIED INFO za serikali pamoja na chama chako. Kama kweli wewe ni mzalendo uliye na uchungu kwa nchi na wananchi wenzako, then toboa unachojua.....hatutaki mafumbo.
avatar yako inatia kichefuchefu