KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Hao watu 10 angewataja ningemwelewa vizuri zaidi.........
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tunawajua, uelewe nini sasa?Hao watu 10 angewataja ningemwelewa vizuri zaidi.........
Kimeshameguka na hakuna wa kuweka mambo sawa pale ila kwa afrika ndio chama cha tokea uhuru kilichosalia hivyo wakati wake umefikia ukomo.sina hakika ila kuna chama chenye uhai madarakani miaka 50 afrika nzima kweli? They are in decline stage only renewal strategies culd help them but its too late!kama CCM watampuuza SITTA, navyoona chama kitazidi kumeguka tu!!
Kwasasa tunachotaka ni ccm kuwatoa madarakani kwa namna yeyote hivyo lengo litimie hata kama wachezaji wengine hatuwapendi,system kuwa mpya tu na watz kuzoea mabadiliko itakuwa hatua kubwa,acha wachapane tu!sitta mali yote aliyo nayo kaitoa wapi.
nyumba ya spika milioni 10 kwa mwezi huyo anajua umaskini wa watanzania. tunadanganyana bure.
nadhani sitta ni mzalendo ila yupo in a wrong party. ccm hawawapendi watu wakweli. anafaa aje chadema tupambane na ccm
,ndg sumaye na wengineo wenye nia nzuri na watanzania.wana historia ndefu ndani ya chama kuliko makuwadi wa maslahi ndani ya chama wanaochipukia kama uyoga.
.
Huyu jamaa ni kama vile mpinzani, nadhani JK alikosea kumpa uwaziri maana saizi amejenga ufa mkubwa sana ndani ya chama kutokana na tabia yake na tabia imeambukiza wengine hivyo kuongeza hali tete kwa CCM, wakati huo CDM wakikenua meno.
Wana JF fuatilieni taarifa ya habari.
---------
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali
Mbona nyerere aliwasema wazi tu mpaka akatamka ccm si mama yangu lakini si uvccm wala yeyote aliyejibu! Kulikoni leo hawa makinda kuongea ovyo tena kujibu makada wa levo za sumaye kwa matamko ya kijinga?kila mtu ana uhuru wa kuongea, kuwa ccm haimanishi USIONGEE kwani NYERERE alikua haongei? au anayoongea sitta yanauma zaidi? kubali tu kaka kwamba ccm ya sasa imebadili sura, acha kuitesa nafsi yako kwa kujilazimisha kukataa ukweli.
Kwani hamuwezi ku raise formidable leaders from without CCM?Kwa heshima zote namuomba Ndg. Sitta atoke ktk chama cha Mapinduzu.
Ajipange upya na kujiunga ...
Wewe umewahi kuingia theater? Kule ni nguo za kijani tuu. Usisahau babu naye ni tabibu.he!
huyu mchungaji wasapila mbona amevaa shati la ccm?
source: ITV
anawajibu UVCCM?