he!
huyu mchungaji wasapila mbona amevaa shati la ccm?
source: ITV
Anatekeleza sera ya CCM ya kasi zaidi kwenye matibabu. Matokeo yake mpaka sasa suala la Dowans limekwisha habari yake. Haliandikwi tena kwenye magazeti.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
he!
huyu mchungaji wasapila mbona amevaa shati la ccm?
source: ITV
Sitta ana haki ya kutoa tamko kama hilo,kwanza hawa makada wa kweli ndugu sitta,ndg sumaye na wengineo wenye nia nzuri na watanzania.wana historia ndefu ndani ya chama kuliko makuwadi wa maslahi ndani ya chama wanaochipukia kama uyoga.
MUNGU AKUTANGULIE MZEE SITTA WALA USISITE KAMWE KUTETEA HAKI YA WALIO WENGI.
Huyu jamaa ni kama vile mpinzani, nadhani JK alikosea kumpa uwaziri maana saizi amejenga ufa mkubwa sana ndani ya chama kutokana na tabia yake na tabia imeambukiza wengine hivyo kuongeza hali tete kwa CCM, wakati huo CDM wakikenua meno.
Ndg commonmwananchi huyo SUMAYE uliyemtaja hapo mtoe tu hayupo kwenye list ya kupinga ufisadi.Sitta ana haki ya kutoa tamko kama hilo,kwanza hawa makada wa kweli ndugu sitta,ndg sumaye na wengineo wenye nia nzuri na watanzania.wana historia ndefu ndani ya chama kuliko makuwadi wa maslahi ndani ya chama wanaochipukia kama uyoga.
MUNGU AKUTANGULIE MZEE SITTA WALA USISITE KAMWE KUTETEA HAKI YA WALIO WENGI.
Ndg yangu katiba yetu haina nguvu za kushitaki mafisadi, kwani EPA mafisadi si walijulikana mkuu wa nchi Raisi akawasamehe, nchi gani duniani inasamehe wezi eti warudishe walicho iba tena si chote wenyewe wakadilie!!!.Jamani kama sitta anawajua hao waujumu uchumi, kwanini tusimuunge mkono na kumuomba ushaidi wa jinsi hao watu wanavyoujumu uchumi ili kwa pamoja(wazalendo) takawashitaki hawa watu, lakini kama tunasubiri eti hadi uchaguzi huku tunaendelea kuibiwa me nazani ni uvivu wa kuchukua hatua wakati muafaka, jamani uchaguzi ni kwaajili ya kawaondoa viongozi wasiowajibika lakini kwa hawa wanaovunja sheria wanaitaji kushitakiwa.
avatar yako inatia kichefuchefu
Mbona mzee MENGI aliwataja na maovu yao lakini wananchi hawakuchukua hatua yoyote?nadhani hata maandamano ya kuunga mkono kauli yake walau ingetosha!matokeo yake mengi kapelekwa mahakamani hakuna wa kumsaidia
CCM ilikufa na Nyerere; iliuwawa na Mkapa. Matatizo yanayoikumba sasa hivi wakati wa Kikwete ni matokeo hayo ya kufa zamani sasa inaanza kunuke. Watu wanoamlaumu Kikwete kwa kuiua CCM wanamuoenea tu kwani alibebeshwa marehemu CCM tangu awali. Kama CCM ingekuwa iko hai wakati wa Mkapa, basi Kikwete asingekuwa rais mwaka 2005.
toka huko baba sitta njoo tupambane nao........
CCM ilikufa na Nyerere; iliuwawa na Mkapa. Matatizo yanayoikumba sasa hivi wakati wa Kikwete ni matokeo hayo ya kufa zamani sasa inaanza kunuke. Watu wanoamlaumu Kikwete kwa kuiua CCM wanamuoenea tu kwani alibebeshwa marehemu CCM tangu awali. Kama CCM ingekuwa iko hai wakati wa Mkapa, basi Kikwete asingekuwa rais mwaka 2005.
Well well well,............patakuwa hapakaliki hapa.......Mh Sitta Watch out!.................tik tak tik tak tik tak