Kobello
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 8,565
- 7,811
Alikuwa mkurugenzi wa Tanzania Investment Centre,IPTL...etc. zote zilibarikiwa nae!!...be careful guys!Wana JF fuatilieni taarifa ya habari.
---------
Amesema ataendelea kupambana na ufisadi pamoja na nchi kuwa na rasilimali za kutosha wananchi bado ni masikini- inakuaje watu 43mil wanatikiswa na watu hawazidi 10 HAPA TANZANIA ANASEMA MWAKA 2011 ndiyo mwisho wao! Amewataka wananchi wasikubali