Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

Fungu la kukosa!. Huku kutapatapa ni dalili ya mfa maji.
P.

Huyu si mfa maji tena bali tayari ni maiti aliye kufa kwa maji.hana lake tena huko anakowakilisha nchi kama waziri wamwmkataa mpaka rais wetu analalamika hajujui kwanini anatengwa kumbe tatizo ni huyu bwana hana uwakilishi mzuri yeye anamwaza lowasa tu kazi unayo ndugu.
 
Lowassa anataka urais bora yeye anadhihirisha hilo kuliko mnafiki 6 ambaye anataka urais lkn badala naye ajipange anaanza madongo kwa wenzake. Majuzi alisema wanataka urais kwa kuweka capital ya ten billion leo unakuja na style mpya kuwa washatumia 7 billion kwa hiyo wamebaki na 3 billion! si watachoka kabla ya! Huwezi pata urais dhama hizi kwa maneno matupu kila sehemu lazima shekeli ipite, nenda kajipange upya.
 
Mkuu Mtoboasiri, wala huko kwa kushitakiana mpaka kwa Mungu, hatutafika!, kila siku nasema humu jf, tena natambulika rasmi kama mfuasi No.1 wa EL, nasema hivi, EL ni "sauti tuu iliyo nyikani ikiyanyoosha mapito yake yeye yuajaye!".

Mwanzo hata mimi nilimtaka EL apitishwe ili atumike kama "pace maker" kwenye mbio za kuelekea Ikulu, 2015!. Kufuatia hali ya afya yake, nikajiridhisha, kumbe hata huko ndani ya CCM, yeye "sauti tuu iliyo nyikani!".

Pasco.
Pasco

Kiboko yake atakuwa mgombea wa CHADEMA. Ataacha CCM amewagawa vipande vipande. Agombee kupitia chama au mgombea kuacha CCM vipande hakuepukiki. Ni maono yangu tukumbushane December 2015.
 
Hakika MH. Sita binafsi huwa namkubali sana. Alitutengenezea bunge makini kwa awamu 1 tu ccm wakamchomoa. Naamini ktk ccm ndiye right person na ataweza kuleta nidhamu ktk nchi hii. Go 6 go.
 
Kama ilivyo kwa Kapuya asivyosafishika kwa issue ya kubaka dent,ni sawa na Lowasa asivyosafishika kwa issue ya Richmond,na niwaase Watanzania wenzangu,kwamba tusije fanya kosa kuirejesha CCM madarakani.Haya yanayotukuta leo ya kuharibiwa watoto wetu,kuibiwa, kuingia mikataba feki na mengine mengi,yamesababishwa na CCM, hivyo 2015 tusikubali kufanyiwa dhuluma na tume ya uchaguzi,kutangaza mgombea alieshindwa kuwa Rais.
 
hata kama anasema kweli; yeye kama waziri amelizungumza hili kwenye baraza la mawaziri au hata kuwaeleza Rais, makamu, PM na viongozi wa chama chake? je, wamemjibu nini? na je kama hawamsiklizi dawa yake ni nini je, si kujiuzulu na kueleza sababu?
 
Pasco, Lowassa asipokuwa rais utakuwa tena kundi gani
nadhani wewe kama mwandishi wa habari hutakiwi kusashabikia kundi lolote
kwa msing huo napata mashaka na taaluma yako
Fungu la kukosa!. Huku kutapatapa ni dalili ya mfa maji.
P.
 
Pasco, Lowassa asipokuwa rais utakuwa tena kundi gani
nadhani wewe kama mwandishi wa habari hutakiwi kusashabikia kundi lolote
kwa msing huo napata mashaka na taaluma yako
Mkuu Lokissa, lazima tufike mahali humu tuwalazimishe kuukubali ukweli halisi jinsi ulivyo, na sio kulazimishana kwa kutuweka kwenye makundi fulani fulani!.

Pasco wa jf, hana chama, sio mwanachama wa chama chochote, sio mfuasi wa mtu yoyote, si belong kwenye kundi lolote bali kwenye ukweli halisi jinsi ulivyo!.Kwa siasa za bongo zilivyo kuelekea 2015 as of now, ukweli halisi ni CCM, na team EL ndio timu ya kweli!.

Kama na wewe umo katika wanaondani EL ndiye anayeutaka urais, jijue umepotea!.
Six ni fungu la kukosa!, "Joka" ni fungu la kubebwa na habebeki!, fungu lililobaki wima ndilo hili la EL!. Hio ndio ukweli halisi wa "as of now!".
NB. Political landscape is not static, its dynamic, hence it changes with time!, and can change within a split of a second!, changes zikitokea sio jambo la kushangaza kwa sababu ni "anticipated changes!". Wakati tukuiendelea kuzi anticipate hizo changes, tunatakiwa kuanticipate zije huku tukikubali kilichopo as of now!, ndani ya CCM ni team EL as of now! na hili sio suala la mtu kuchagua kukubali au kukataa, "its a fact!".
Pasco.
 
Sitta solve issue ya EAC tukuamini. Majungu hayana mpango.
 
Watu wanapenda uongozi; iko siku tutafiwa na rais ikulu...mimi naona wote ni watu waliotakiwa kustaafu...wazee sana...

Hivi katiba mpya haina umri wa kustaafu kwa rais? Life expectancy yenyewe haizidi 60; watu wanagombea huku wanakaribia 70 kama hawajapitiliza
 
Hata kama wanasiasa wanapigania uraisi, mwenye kuongea ukweli ni shujaa!
 
Mimi sina usafi. Lakini napinga wanaomtetea sita kwamba ni kiongozi safi.
Ahsante tusaidie na wengine tujue hayo mauchafu yake na ushahidi, utakuwa unatusaidia sana watanzania.Ila mkuu naomba watanzania tuacheni ushabiki usio na maana tuangalie viongozi watakaotutoa katika changamoto zinazotukabili kwa manufaa ya vizazi vijavyo viongozi ambao ni wa adlifu.
 
Ahsante tusaidie na wengine tujue hayo mauchafu yake na ushahidi, utakuwa unatusaidia sana watanzania.Ila mkuu naomba watanzania tuacheni ushabiki usio na maana tuangalie viongozi watakaotutoa katika changamoto zinazotukabili kwa manufaa ya vizazi vijavyo viongozi ambao ni wa adlifu.

Upo sahihi. 100%.Watanzania wengi wamechafuka na matope ya ufisadi. Mbele ya safari kuna haja ya Ku-import viongozi kutoka katika nchi zilizostaarabika kama uholanzi, norway na ujerumani. Lakini hawa wamakonde, wamatumbi, wanyamwezi, wagogo, wakara, wasukuma, waha, wazinza, wazanaki, tabu tupu. Wachaga, wahaya, wanyakyusa na wapare ndio usiseme kabisa. Haya makabila manne yanaweza kubinafsha na kurasmisha rasilimali watu (watanzania wote) kwa wawekezaji.
 
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk

Mh lowasa anaingiza Tsh bilions 6 kwa siku,,? Hapo sijakupata sawia mkuu naomba kueleweshwa inamaana vodacom wana make more billions perday..?
 
ni mimi sina uelewa ama?
asa huyo sitta kutumia graduu
kuyasemea hayo palikuwa sahihi?

vinginevyo naweza kuita huu
upumbavu toka kwa mtu kama sitta.
 
Back
Top Bottom