Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

mheshimiwa sita we hufai pia kuwa rais,maana unamajungu na ubinafsi!,kwa nn kila siku unamwandama lowasa!??ama unamapungufu??kwa nn usieleze mambi yako??,afu kwenye mialiko ya graduu,ndo majukwaa ya kujibizana siasa??,kwa nn usiite waandishi ukawaambia??,nani alikwambia pale wanataka kuja tofauti zrnu??

Acha kutapatapa,HAKUNA JIWE AMBALO HALITAFUNULIWA.waache watoto waujue ukweli na hao ndio wapiga kura 2015,haiwezekani mtu ahangaike huko na huko kuunua urais wa nchi hii na aachwe tu.IKULU NI MAHALI PATAKATIFU NA SI PANGO LA WEZI,MAFISADI,WAUZA UNGA NA WANYANG'ANYI.
 
Pasco, kama kweli wewe ni Mtanzania na unaipenda nchi hii utaomba Lowassa asiwe rais wa nchi hii hata dakika moja. Lakini kama Mwalimu alivyosema "serikali hii (ya kikoloni) isipotusikiliza tutaishitaki kwa malkia, nae asipotusikiliza tutaishitaki Umoja wa Mataifa. Wasipotusikiliza tutashitaki kwa MUNGU".

Lowassa akipata urais Watanzania tutashitaki kwa MUNGU!
Mshtaki kwa Mungu wakati mtakuwa mmempa Urais! Hii ni ajabu! Acha woga, acha kutishia.
 
Sijui kwanimi sina mashaka na Rais kutoka upinzani 2015,CCM wenyewe kwa kujua au kutokujua au kwa mapenzi ya Mungu juu ya Nchi hii wataparanganyika na na kauli zao za mwisho itakuwa "LIWALO NA LIWE,BORA TUKOSE WOTE" Mzee Sitta,Bernad Membe.....hawa hawawezi kukubali Lowassa awe mgombea wa CCM, jipeni moyo wote munaoitakia Nchi hii mema kwani ukombozi u karibu.
 
Sitta hana ukweli wowote ni mnafiki mkubwa sana wabongo tunatakiwa tumuogope sana.Amejaribu kila njia kupata madaraka makubwa ameshindwa ila mwaka 2015 presha itammaliza maana hataamini macho yake maana ndoto zake na washirika wake za kwenda Ikulu mmoja wao hazitafanikiwa.

Don Quixote of La Mancha fighting the windmills
 
Lowasa hata siku moja hataweza kuwa presdor wa hii nchi. Big up Sitta

Maneno kama haya aliwahi kusema mzee mmoja alikuwa mkuu wa mkoa fulani hapa Tanzania eti hatuwezi kumpa nchi hii "mhuni" akidhani kwamba chaguo lake wakati wa mchakato wa kupata atakaye peperusha bendela ya chama chake ndiye atapitishwa. Mwisho wa siku yule aliyemuita mhuni ndo akapitishwa na chama na hatimaye akawa rais! Yule mzee yuko juu ya paa mpaka leo! Kwa nini Lowassa asiwe rais? He is a potential presidential candidate!
 
Kitu ambacho kinanifanya nampenda sana Sitta ni mwanasiasa anaweza kuzungumza anachokiamini bila woga. Gazeti la Tz Daima la leo uk wa 4 linaripoti hivi:

Mh Sitta jana alikuwa anazungumza katika mahafali ya kidato cha nne shule ya Agape Seminari , Marangu Moshi anasema:

" Nchi imefika pabaya kama viongozi wanaweza kutoa vitisho na tambo za watoto wao kuuza dawa za kulevya huku vyombo vya dola vikishindwa kuchukua hatua". " Nchi imegawanyika makundi ambapo baadhi ya viongozi wamekuwa na kiburi cha kutamba kwamba hawawajibiki kwa vyombo vya kisheria". Sitta alitoa mfano wa Waziri mstasfu ambaye sasa ni mbunge, aliyeripotiwa na vyombo vya habari kumtisha mtoto aliyemtuhumu kwa kumbaka mara mbili alipoitwa kwake kuchukua ada. Alisema polisi hawajachukua hatua hata ya uchunguzi tu na kubaini kwamba Tanzania ni nchi kubwa haiwezi kuendeshwa hovyo hivyo tu, na kwamba lazima iendeshwe kwa viwango vya maadili vitakavyoleta maendeleo.

Kuhusu Lowassa anasema:

" Watu walianza kujipambanua miaka miwili iliyopita kwa harambee mbalimbali kwa baadhi ya makanisa, misikiti na sehemu nyingine" Hesabu ya fedha hizi kwa kipindi cha miaka miwili ni kiasi cha sh bilioni 7" Anasema mtu huyu na kundi lake wakipewa nchi wataiangamiza na kwamba watapora nchi kwa kasi na hatimaye misingi ya umoja na usawa itabomoka na kulitumbukiza taifa kwenye machafuko.

Big up Mh Sitta kwa kusema ukweli

Hata huyo sitta hana usafi wowote. Muulize Dr.Slaa kuhusu sita. Utalewa bila kunywa.

 
Fungu la kukosa!. Huku kutapatapa ni dalili ya mfa maji.
P.

Mkuu kitendo cha mzee Sitta kutetea haki za watoto wanaobakwa na kuambukizwa UKIMWI sio fungu la kukosa. I believe you are better than this...
 
Kitu ambacho kinanifanya nampenda sana Sitta ni mwanasiasa anaweza kuzungumza anachokiamini bila woga. Gazeti la Tz Daima la leo uk wa 4 linaripoti hivi:

Mh Sitta jana alikuwa anazungumza katika mahafali ya kidato cha nne shule ya Agape Seminari , Marangu Moshi anasema:

" Nchi imefika pabaya kama viongozi wanaweza kutoa vitisho na tambo za watoto wao kuuza dawa za kulevya huku vyombo vya dola vikishindwa kuchukua hatua". " Nchi imegawanyika makundi ambapo baadhi ya viongozi wamekuwa na kiburi cha kutamba kwamba hawawajibiki kwa vyombo vya kisheria". Sitta alitoa mfano wa Waziri mstasfu ambaye sasa ni mbunge, aliyeripotiwa na vyombo vya habari kumtisha mtoto aliyemtuhumu kwa kumbaka mara mbili alipoitwa kwake kuchukua ada. Alisema polisi hawajachukua hatua hata ya uchunguzi tu na kubaini kwamba Tanzania ni nchi kubwa haiwezi kuendeshwa hovyo hivyo tu, na kwamba lazima iendeshwe kwa viwango vya maadili vitakavyoleta maendeleo.

Kuhusu Lowassa anasema:

" Watu walianza kujipambanua miaka miwili iliyopita kwa harambee mbalimbali kwa baadhi ya makanisa, misikiti na sehemu nyingine" Hesabu ya fedha hizi kwa kipindi cha miaka miwili ni kiasi cha sh bilioni 7" Anasema mtu huyu na kundi lake wakipewa nchi wataiangamiza na kwamba watapora nchi kwa kasi na hatimaye misingi ya umoja na usawa itabomoka na kulitumbukiza taifa kwenye machafuko.

Big up Mh Sitta kwa kusema ukweli
Nashukuru sana kwa posti hii mkuu,pia namshukuru sita kwa kuthubutu kutufungua macho watanzania kwa mambo kama hayo.Naomba kuwakumbusha watanzania wenzangu pesa anazotoa Lowassa siyo msaada ni zetu,watu hawa wametuibia sana,wanaendelea kutuibia lakini chondechonde tusiwape nafasi zaidi ya kutuibia,ili kufanikisha hilo ni kutowapa nafasi ya kutuongoza teana.
 
Kitu ambacho kinanifanya nampenda sana Sitta ni mwanasiasa anaweza kuzungumza anachokiamini bila woga. Gazeti la Tz Daima la leo uk wa 4 linaripoti hivi:

Mh Sitta jana alikuwa anazungumza katika mahafali ya kidato cha nne shule ya Agape Seminari , Marangu Moshi anasema:

" Nchi imefika pabaya kama viongozi wanaweza kutoa vitisho na tambo za watoto wao kuuza dawa za kulevya huku vyombo vya dola vikishindwa kuchukua hatua". " Nchi imegawanyika makundi ambapo baadhi ya viongozi wamekuwa na kiburi cha kutamba kwamba hawawajibiki kwa vyombo vya kisheria". Sitta alitoa mfano wa Waziri mstasfu ambaye sasa ni mbunge, aliyeripotiwa na vyombo vya habari kumtisha mtoto aliyemtuhumu kwa kumbaka mara mbili alipoitwa kwake kuchukua ada. Alisema polisi hawajachukua hatua hata ya uchunguzi tu na kubaini kwamba Tanzania ni nchi kubwa haiwezi kuendeshwa hovyo hivyo tu, na kwamba lazima iendeshwe kwa viwango vya maadili vitakavyoleta maendeleo.

Kuhusu Lowassa anasema:

" Watu walianza kujipambanua miaka miwili iliyopita kwa harambee mbalimbali kwa baadhi ya makanisa, misikiti na sehemu nyingine" Hesabu ya fedha hizi kwa kipindi cha miaka miwili ni kiasi cha sh bilioni 7" Anasema mtu huyu na kundi lake wakipewa nchi wataiangamiza na kwamba watapora nchi kwa kasi na hatimaye misingi ya umoja na usawa itabomoka na kulitumbukiza taifa kwenye machafuko.

Big up Mh Sitta kwa kusema ukweli

Sijui bwana six anafanya nini huko CCM
 
BILION 7.... Hatareeeee Lowasa na genge lake ni wa kuogopwa
 
Maneno kama haya aliwahi kusema mzee mmoja alikuwa mkuu wa mkoa fulani hapa Tanzania eti hatuwezi kumpa nchi hii "mhuni" akidhani kwamba chaguo lake wakati wa mchakato wa kupata atakaye peperusha bendela ya chama chake ndiye atapitishwa. Mwisho wa siku yule aliyemuita mhuni ndo akapitishwa na chama na hatimaye akawa rais! Yule mzee yuko juu ya paa mpaka leo! Kwa nini Lowassa asiwe rais? He is a potential presidential candidate!
Walewale njaa zitawaua, He might be potential to you, but not to Tanzanians who do really love this country .Eeh Mungu tusaidie,yanayoonekana tu hatuwezi kuona yasioonekana je?
 
Sijui kwanimi sina mashaka na Rais kutoka upinzani 2015,CCM wenyewe kwa kujua au kutokujua au kwa mapenzi ya Mungu juu ya Nchi hii wataparanganyika na na kauli zao za mwisho itakuwa "LIWALO NA LIWE,BORA TUKOSE WOTE" Mzee Sitta,Bernad Membe.....hawa hawawezi kukubali Lowassa awe mgombea wa CCM, jipeni moyo wote munaoitakia Nchi hii mema kwani ukombozi u karibu.
Saa ya ukombozi nisasa na Mungu yuko upande wetu,waliyofanya yanatosha upinzani ndiyo dawa tuone na wengine wataisaidia vipi TZ,CCM mika 50 ya uhuru baada ya kuendelea tumerudi nyuma hivyo hawana jipya.
 
Walewale njaa zitawaua, He might be potential to you, but not to Tanzanians who do really love this country .Eeh Mungu tusaidie,yanayoonekana tu hatuwezi kuona yasioonekana je?

"One man's meat is another man's poison"
 
Sina hakika kama huyu Mlemavu EL atakubalika kuwa rais wa nchi hii achilia mbali hata kuteuliwa na Maccm hizi tamaa zingine bhana,hilo genge lake ni fedheha tupu wezi na wabakaji!
 
So kwa sifa ulizotaja ni na kuangalia usoni basi ni nani anafaa kwa maoni yako?
Tanzania ni nchi iliyojaa surprise, surprise katika uwanja wa kisiasa.

Hatuwezi kwa sasa kuanza kusema nani anafaa kwa sababu officially hakuna majina katika vyama ambayo yamependekezwa lakini unofficially tunasikia sikia mitaani baadhi ya watu wanasemwa ambapo mmojawapo ni Mh. Sitta.

Siku ikifika na tukaletewa majina tutawachagua miongoni mwao ambaye atakuwa zaidi ya wengine kwa sababu tutakuwa hatuna choice nyingine, ndiyo maana nikaanza kusema kama CCM inamtembeza Dr. Mingiro ili ajulikane kwa wananchi kwa nia ya kuja kumsimamisha kama mgombea Urais basi CCM itakuwa hawawatendei haki wanachamana wapenzi wake na pia Watanzania kwa ujumla. She's not Presidential material kwa Tanzania ya sasa na ijayo.

Ninatumaini vyama vya siasa vitatutendea haki na pia ninaamini kuna Watanzania out there wanaoweza kupambana na rushwa, umasikini, udini na ukabila.
 
Back
Top Bottom