Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

Sitta Amvaa Kapuya, Lowassa

Wanasiasa wabongo bhana...
Mtu uko kwenye mahafali tena ya form 4 uko busy na habari za urais 2015 si afanye press conference aropoke vizuri sasa hao madent yanawahusu nini? Walewale 2
 
Huyo SITTA mwizi ndio maana anadhani wote wenye hela wezi kama yeye! Jambo la kujiuliza ni moja kama LOWASA amesaidia kuchangia matukio ya kijamii kwa nin jamii tusimsupport? Na je huyo SITTA amefanya nin? Au anangojea kuhonga 2015 eti? Sitta we ni selfish ndio maana wengine wakitoa roho inakutoka! LOWASA UKO JUU!
 
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk
Ninyi ccm malizaneni tu wenyewe kwa wenyewe hukumu yenu yaja.sisi raia tunawasubiria tu hapo 2015 ndio tutajua mbivu na mbichi.usimlaumu Sitta kwa kusema ukweli tupu tena wa wazi kabisa.na sitta mwenyewe naye haaminiki maana ni walewale zaidi tu alitumika na JK kama mpira wa kiume na kuwa dumped na ndio hasira aliyonayo ila hana jipya naye.
 
SALOME SCHAWALE; Angalau sita ameanza kuona Ukweli mchungu kuwa Mwanamume wa Shoka anapewa Mamlaka.Kamshindwa Rais Mteule na Mtemi wa Unyanyembe Mh.Lowassa sasa kageukia kuwa Mfadhili wa Harambee za Malaya kumchafua ProfessorJuma Kapuya, Sitta kachanganyikiwa Tangu JK alipomhadaa kumpa u PM, Kama Serikali haiperform yeye anasubiri nini huko Serikalini, Kwa nini sita hazungumzii ulegelege wa Serikali kwa PCCB kumuacha mkewe 2010 wakati alikutwa Red Handed na Bahasha 117 za kugawia wajumbe ili apitishwe Ubunge wa Viti Maalum,

mafungu ya kukosa somen kwenye red na blue.....2015 rais ni lowasaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa asiyetaka ahame nchi who is nyerere muulzen sokoine almfanyia nn baada ya kuona anamzdi nyerere umaarufu et nyerere alisema nyerere ni Mungu?tuachen kuwaza na kuandka upumbavu....nani asiyejua kuwa sokoine alkuwa anaheshmika na kukubalka kulko nyerere na nyerere akawa hatak ...nan asiyejua kuwa sokoine alkuwa mkali kwa watendaji kulko nyerere akienda mikoan kikaz kama pm sokoine alkuwa ataki kufwata airport na wakuu wa mikoa na wilaya bali alwaambia niwakute shamban kama ni tabora sokoine altaka amkute RC na Dc kwenye mashamba ya ujamaa ya tumbaku..kama ni mwanza awakute kwenye mashamba ya ujamaa ya pamba..kama ni moshi..arusha ..kagera awakute kwenye mashamba ya ushrka ya kahawa nyerere ikafka mahali akaona watendaji wanamheshmu sokoine kulko yeye wakamkolmba sokoine
 
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk

kwahiyo we uko upande upi maana mpaka hisa wazijua
 
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk

Nyie ndo watu Muhongo anawaita wavivu wa kufikiri, Bilioni 1.2 kwa siku, Kwa mwezi bilioni 36, kwa mwaka bilioni 432, Duh.
 
Siasa ni mchezo mchafu sana ndio maana political scholars wana-define "politics is an art of possible" and "a dirty game it depend on the team you are with" sisi wengine yetu macho 2015 sio mbali.
 
EYOMA ;kwahiyo we uko upande upi maana mpaka hisa wazijua
ma presdent is lowasa 2015 anayemfkria mwngne ndoto za mchana hizo...chungu kumeza bt inabidi umeze
 
mpanzi;nyie ndo watu muhongo anawaita wavivu wa kufikiri, bilioni 1.2 kwa siku, kwa mwezi bilioni 36, kwa mwaka bilioni 432, duh
ukweli ndio huo si mlishazoeshwa siasa majitaka na kina sta ndio maaana wengi mmeshangaa forbes kumtaja rostam kama tajri namba moja tanzania sasa wewe ulishazoeshwa kuambiwa na kna sta kuwa rostam ni fsad whle amewekeza kwenye mitambo ya madini..mawasiliano..etc bt cz mnapenda zaid kuskia propaganda ndio maana unashangaa
 
Mkuu Mtoboasiri, wala huko kwa kushitakiana mpaka kwa Mungu, hatutafika!, kila siku nasema humu jf, tena natambulika rasmi kama mfuasi No.1 wa EL, nasema hivi, EL ni "sauti tuu iliyo nyikani ikiyanyoosha mapito yake yeye yuajaye!".

Mwanzo hata mimi nilimtaka EL apitishwe ili atumike kama "pace maker" kwenye mbio za kuelekea Ikulu, 2015!. Kufuatia hali ya afya yake, nikajiridhisha, kumbe hata huko ndani ya CCM, yeye "sauti tuu iliyo nyikani!".

Pasco.
Pasco

Kwa hiyo mkuu unamanisha kwamba yeye hataomba kugombea?.KAMA NI HIVYO,ANAMPIGIA CHAPUO NANI?
 
Mungu atutie nguvu tumkatae shetan ambaye amekataliwa kitambo kwani anaandaa maangamizi kwa kutumia pesa, 6 kaza buti tumkatae na wafuasi wake.
 
Iwe isiwe ila Lowasa atakuwa na nguvu tu maana kwa sasa kila kitu ni hela na kwa hali tulofikishwa hakuna takayekataa pesa.
Jamaa anaweza asiingie yeye ila atamweka amtakaye ili aweze kufaidi na uongozi atakayeuweka madarakani na sidhan kama wengi wanalitambua hilo
Kwa kelele zilizopo anauwezo wa kugombea na akawa raisi kama mh alivyosema kuwa jamaa ni jembe.
Kuwa raisi inawezekana maana wengi wanaolalamika kuwa haiwezekani ni wanafiki tu wakipewa wananyamaza ila mbele za watu na mawazo yao yanaonesha kumpinga mheshimiwa ila ukweli wanaujua wao kuwa jamaa anafaa kuwa raisi kwani anamaamuzi ya kiungozi hata ukilinganisha na mtoto wa mkulima kwan mheshimiwa hatishwi na yeyote kama nguvu za kifdha kifedha anazo, mtaji wa watu anao na mtaji wa kisiasa anao na mtaji wa kujua nini kinasemwa anao
Vijana wengi ni washabiki tu lakin si wapiga kura acheni jamaa atuongoze kwani yeye aliwajibika kisiasa tu ila si vinginevyo maana amelinda heshima ya nchi yetu kwa hiyo yuko huru kugombea uraisi kama walivyo huru wengine maana hakuna kinachomfanya asigombee kisheria huenda aamue yeye kutokugombea.
 
Sitta anatamani kubaki serikalini, pia anatamani awe mpinzani. Amenifurahisha kwa kuwananga Lowassa na kapuya! Good job 6.
 
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk

Tatizo lenu huwa mkitetea mnamuanika mtu wazi tupate kumuona.
Lowassa alipata wapi hiyo pesa in the first place ya kuwekeza Vodacom? Amekuwa mtumishi wa umma kwa wakati wote, kafanya biashara gani na lini ya kuwekeza billions za kumpatia 1.2 bil kwa siku? Mnakimbilia kukiss a--es za watu waliotuingiza kwenye umaskini huu kisa sasa ana hela na anaweza kukutatulia matatizo yako ya sasa, unasahau mtoto na mjukuu wako watakuwa na hali gani baadae iwapo tutaruhusu watu wa namna ya Lowassa kuingia ikulu. SHAME ON YOU!
 
6ta umeongea issue ya maana ktk kujenga taifa le2.GOD BLEC TZ
 
Back
Top Bottom