TUJITEGEMEE
Platinum Member
- Nov 6, 2010
- 27,269
- 27,942
Lowassa hatagombea atakachokifanya ni kumuunga mkono Maghufuli kisiri siri ...kuwania urais.
Inaelekea kuwa hiyo ya "kushtaki kwa Mungu" aliyoisema Nyerere huelewi maana yake! Naamini Pasco anajua.Mshtaki kwa Mungu wakati mtakuwa mmempa Urais! Hii ni ajabu! Acha woga, acha kutishia.
Fungu la kukosa!. Huku kutapatapa ni dalili ya mfa maji.
P.
Mkuu Ulukolo, huyu ni mwanasheria aliyebobea!, alipounda tume ya Mwakyembe na kumjua mwenye mizogo halisi ya Richmond ila kwa ajili ya U-PM wakaamua kumtishwa mtu baki, ili kumuengua kwenye serious contenders wa 2015!, na sasa anaona kasi ilivyo, huku ni kupiga tuu makelele!.Mkuu kitendo cha mzee Sitta kutetea haki za watoto wanaobakwa na kuambukizwa UKIMWI sio fungu la kukosa. I believe you are better than this...
tb joshua alimwabia lowasa rudisha pesa za wananchi ulizoiba kwa njia moja au nyingine ilo uweze kuuona japo geti la mbingu
Eee Mungu, naomba nguvu yako iishinde ya shetani mwaka 2015 ili kulinusuru taifa hili linalofananishwa na dem malaya ambaye haogopi kupigwa mtungo kisa anagawa umeme
Lowassa kwa kuwa alitabiriwa na TB Joshua kuwa ndiye atakaye kuwa Rais wa Tanzania 2015 anajiamini hivyo hata maneno ya Sitta nadhani yanapenya kutoka upande mmoja wa sikio na kutokea upande wa pili wa sikio la pili. Mungu hutoa lakini Mungu huyo huyo hutwaa anayedhani amesimama aangalie asije akaanguka, Lowassa do you get me?