Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 19,020
- 9,177
sita hana jpya njaa na ulafi wa madaraka unamsumbua tunajua Sitta ndiye ana engneer mkakati wa kumchafua kapuya kisa kapuya kumpeleka lowasa tabora na kukabidhiwa uchief wa wanyamwez sta akaona amezdiwa kete...anasema lowasa katumia bilioni 7...lowasa kwa sku kuptia hisa zake Vodacom anaingza bilioni 1.2 kwa hyo blion 7 ni pesa ya sku 6 ufsad upo wap tatzo sta anajua kutembea na wake za watu tu ameshndwa kutafta pesa kaishia kulalamika. ..shame n u sta acha unafk
Kwa Siku 1.2 Bil kwa Mwaka ni 438 BIL Ndugu hii Hela hata TRA hawapati kwa Mwaka kwenye makampuni yote ya Kodi, alafu kama VODA tu anapata hizi kwa Mwaka Mbona hayupo kwenye Matajiri wa NJII HII.