Ona unavyo jichanganya ukahaba/ufisadi/unafiki/ulafi ni pacha sifa/tabiya nikutokuwa naaibu binadamu ataungekuwa na elimu mali za samani ukikosa aibu wewe sawa na munyama au mududu kitu kinacho fanya mtuu asifanye kosa niaibu kwakuogopa akijulikana utuwake utashuka/kuzalauliwa au kuogopa kumukosea mngu ukikosa aibu hayo yote huwezi fikiliya atakutembea mtupu unaweza jiulize unayo yatenda unaendana nayo kama sawa unaweza ukaendeleya nayo ni utupuu
Acha kupotosha mada ni masuala ya Afrika Mashariki sio Dowans.
miafrika bana
mkurupukaji wewe!
Endelea ku-download akili yako ikiwa full nistue..
Ila leo Sitta ameongea point, huyu mzee amebadilika ila bado nae anakashfa kama kutumia nyumba ya Spika wakati analipwa posho ya nyumba nae ajisafishe kwanza.
mkuu, naona unaladhimisha habari, heading yako na thread yako vitu wiwili tofauti..
Sitta na kikwete lao ni mmoja ndiyo maana kamtewa kuwa waziri