Sitoisahau siku hii.!!! Soo embarrassed

Kujaribu kupigana na mwanaume/mume ni kama vile kuuwasha moto, anaweza akakuulia ndani. Wewe washauri tu wenzako wakati wewe una adabu tosha kwa mumeo. Mke mwema harudishi kibao kwa mumeo.

 
pole tofali hata mimi kwa comments zako na id hiyo sikuweza kudhani wewe ni ke , kuanzia leo tegemea pm kibao za wakware wa jf...
 
Last edited by a moderator:
Yaani wewe lazma dunia inakuonea. Nanihii ya kwake, aiweke wazi na still ujisikie vibaya wewe! Ama ulimtamani?

And it was a Year Back...
Leo ameukumbuka Uboho mweusi tii aliouona kwenye Daladala baada ya kuacha gari yake nyumbani.
 
Hutokeaga na huwa inauma sana ukiwa na mtu unayemfahamu na kapata kadhia hii...We tofali pole sana yakubidi uwe na gari yako hata kwa mizunguko mifupi
 
Last edited by a moderator:
Babu weee kwani zote ni nyeusi...halafu sababu si kuwa ni nyeusi ndo imenikera No....ni sababu sijavutiwa nae...ukiplus na rangi...ukiplus pale c mazingira halali...hata ingekua nyeupe ningeponda cz hana adabu
life is adventure maam...the situation was also counting as adventure! doesn't it?
 
Uboo mweusi? Ungemwambia akuchape nao
 

Aisee hapo umenisaidia hata mimi....upo wise sana.be blessed
 
Kuna jamaa aliwahi kusema humu kuwa kuna watu wanatembea lakini walistahili kuwa Mirembe,
nakubaliana naye 100%.
 
huyo ni mgonjwa sio bure maana ehhhh mbna mageni haya
 
.., Nooo...amekupiga kwa sababu ni mwoga wa kukuface, hajui kuwasiliana na wewe and he is simply useless.

hivi ndivyo ilivyo!
Ah!, ila mama watoto nae anaongea sana, bila vibao vichache anakesha akiongea.
 
ntakuwa wa mwisho kuamini hii story..anyway nakumbuka mwaka jana hata cantalasia alikuja na hadithi kama hii

I swear it upon God...it realy happened to me....je wale wanaodunga pia huamini.??sina sababu ya kupoteza mda wangu kuandika just a story....shit happens
 

Mmmmh mbona umeusifia ivo?hujawahi kuuona nini?bwana wako anaokama huo?
 
And it was a Year Back...
Leo ameukumbuka Uboho mweusi tii aliouona kwenye Daladala baada ya kuacha gari yake nyumbani.

Hahahaha....sijaukumbuka uboo bali ujinga wake..how could he.??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…