Susy
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 1,431
- 221
- Thread starter
- #81
Mungu ni mkuu hakuna linaloshindikana kwake. Wasamehe wote walio kukwaza kwa njia moja au nyingine kwa sababu mungu amekuinua kutoka kwenye unyonge. Kumbuka adui yako ni adui wa mungu mwachie mungu apambane nae, mungu amesema mpende adui yako, wewe wasamehe then utaona baraka za mungu zitakavyo kushukia. Mimi baba alifariki nikiwa darasa la saba nilipitia changamoto nyingi ila nilimtumaini mungu bila kuwa na kinyongo na mtu yeyote leo hii ni mtu mwenye thamani mbele ya jamii inayo ni zunguka. Nimefurahi sana ushuhuda wako, mungu anapo tubariki ni lizama tusimame na kushuhudia ili kila mwanadamu ajue mungu tunaye mwabudu ni mwema siku zote. Mungu akubariki na akupe roho ya kusamehe ili neema na baraka zake ziendeleekuwa juu yako.
Nimeshawasamehe wote!!! ila namshangaa Mungu anawaadhibu mmoja baada ya mwingine sasa!!