Zemanga zoze
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 990
- 1,636
Nenda kwa wazungu ukutane na serial killers kuna mama Australia alichemsha kichwa cha mumewe kama anachemsha kongoroKuna mambo ukiyaskia alafu anayeyafanya ni mwenzako tena wakati mwingine ni ndugu yako unahisi kuchizika na kujiuliza kwa nini ulikuwa mtu mweusi. Sijui ni laana gani sisi watu weusi tulipewa. Afrika tuna matukio ya ajabu sana.