walijua mgeni kumbe mgeni kalala chumba kingine walibadirishanaKuna tajiri mmoja huku mbeya nilisikia alimchuna mwanae nadhani ndo huyu uliomongelea hapa.
walijua mgeni kumbe mgeni kalala chumba kingine walibadirishanaKuna tajiri mmoja huku mbeya nilisikia alimchuna mwanae nadhani ndo huyu uliomongelea hapa.
Salamu ilikuwa ya siku nyingi, ila haichachi.Salama kabisa
Hii jf app haileti notification mpaka nifungue kwenye browser ndo nianze kufwatilia....Salamu ilikuwa ya siku nyingi, ila haichachi.
Avatar yako..dah!
Salute.
Nimekupata.Hii jf app haileti notification mpaka nifungue kwenye browser ndo nianze kufwatilia....
Yeye anajua mbeya yote inakaliwa na wanyakUnawapenda wanyaki ehee!?
Kwa taarifa yako mambo ya kuchuna ngozi na nondo yalikua yanafanywa na Wanyiha.
Wanyakyusa wanapatikana Rungwe na Kyela, Huko Mbozi ni kwa wanyiha
chaula Na Ilasi Kumbe Kampuni MojaBasi za ilasi na zile njano za chaula zote Ni za mtu mmoja
Zile za njano zinapiga mbeya iringa
Sent using Jamii Forums mobile app
acha mzaha mzeeKuna mmoja kule ileje alisalimika huko polini baada ya kukimbilia na kupita katikati ya moto kuelekea upande wa pili , walisikika wakisema achana naye kesha haribu ngozi
Ngumu na mbaya Kuna ile kauli Yao sijui wanaitaje kilughaMbozi ndio sehemu inayoongoza kwa matukio ya Kinyama
Miaka ya 2000's kuna jamaa huko mbozi ndugu yao alipigwa mpaka akafa na sababu ilikuwa ni mwizi sasa familia iliyoshiriki kumuuwa yule jamaa baada ya siku mbili ikavamiwa na ndugu wa Marehemu ambao ni Wanyiha wako na mapanga, lungu Mashoka wakenda wakaanzisha tifu kwaajili ya kulipiza kisasi
Aisee ndugu wa jamaa aliyeuwawa wakafanikiwa kumkamata mtu mmoja wa familia ile iliyotekeleza mauaji walichokifanya ni kumkamata na kumfunga kamba ili asiweze kukimbia
Kilichofuata jamaa wakammbeba kwenda kumzika mzimamzima ili kulipiza kisasi cha damu ya ndugu yao
Upande wa jamaa ambao ndugu yao kaja kukamatwa wakaenda polisi kutoa taarifa kuwa tumevamiwa na watu na wamemchukua ndugu yetu polisi fasta wakatoka na defender kwenda kuwafuatilia jamaa
Mwisho wa siku polisi na ndugu wa jamaa waliambiwa ndugu yao ameshazikwa mzimamzima baada ya kwenda kumfukua kwa bahati mbaya ikawa tayari ameshatangulia mbele za haki
Jaman hivi nyinyi wanyia na watu wa Mbozi, Mlowo, Vyawa nyinyi ni wabongo au wazambia? Maana mnaroho ngumu sana
Mkinga OGChaula
Jamaaa an sheli mbozi paleCHA.....U..L... au sio??
Wenyeji w Mbozi,Tunduma na maeneo jirani tumeona mengi sana
Hasa wale wa tunduma ,maeneo ya DANIDA na Daraja la Padre kukikua na matukio mengi sana ya kuchuna Ngozi tuliyoyasbuhudia
Nilikuwa napaki gar San kwake she'll pale na alikuwa ananipenda sanaCHA.....U..L... au sio??
Wenyeji w Mbozi,Tunduma na maeneo jirani tumeona mengi sana
Hasa wale wa tunduma ,maeneo ya DANIDA na Daraja la Padre kukikua na matukio mengi sana ya kuchuna Ngozi tuliyoyasbuhudia
Wanasema tumgonje tumleshe ikiwa na maana tumuue au tumuache.Ngumu na mbaya Kuna ile kauli Yao sijui wanaitaje kilugha
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Ni Kweli mzee alifanya hvyo au uzushi tuanakula bata tu vituo vya mafuta,kituo cha radio,shule ,mabasi wake wakutosha
Mkuu askofu Kama ulikuwa mbeya ,vwawa. By the time 2019 Basi huwenda nakupata mnk na mm nimekuepo na kufanya Kaz Happ mwak mmojaNilikuwa Mbeya maeneo hayo mwaka huu, Wanyiha wana historia ngumu na mbaya sana
Sent using Jamii Forums mobile app